Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

I beg to differ.

The problem am seeing is that most people read the attached Citizen paper for posthaste comments not to understand the basics.

Let's face it; the debt distress named in the paper isn't because SSH is seeking for more loans but rather due to Covid-19 that tremendously impacted tourism sector hence derailed debt payoff.
Is that what the article says ?, Its says the problem was made worse by the impact on tourism but that does not mean its the only factor...

Others might tell you, its due to COVID that we were given (or rather handed) a lot of Cash to stimulate ourselves due to the impact of COVID
Any country with massive financial collaterals like we do would risk to secure additional loans to get development into right pathways.

My distrust, though lies within the ccm's corrupt systems.
Do those collateral grow on trees ?, If our forefathers had the same mentality we would have found nothing of ours to bargain with....

Let's just call a Spade a Spade..., rather than looking for excuses we had rather be more cautious...
 
wapo watu wameongea sana juu ya hili swala la kukopa kopa ovyo lakini ikaonekana kama shule yao no ndogo sana na hivyo hoja zao hazina mashiko tuendeleeni tu kujifukiza ila time will tell
Ukipita Jf ndo utaamini kwamba Watz wengi hawana shule, home of great thinkers ila ukiangalia michango unabaki na maswali.

Kama hawa wapumbavu ndo great thinkers wa Tz, wale wengine ??
 
Stress zilishaanza kitendo Cha Raisi kusema TULIKOPA TULIPE DENI na kusema Ni wazo smart la kutoka kwa mwigulu....hata katika maisha ya kawaida ukiona mtu anakopa kulipa madeni elewa mwisho wake Ni mbaya sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Distress is an unpleasant emotion, feeling, thought, condition, or behavior. Distress can affect the way you think, feel, or act
 
Sio kweli, naomba ulete kipande Cha sehemu ya bajeti kinachosena ni trillion 10.
Kwenye bajeti hakuna wanaposema kakope kasi fulani. Wewe hapo unamaanisha kwenye bajeti wamesema tukope trillion 10 kwa mwaka, hivyo naomba hiyo sehemu kweye bajeti inayosema hivyo
Soma vizuri hivyo vitambulisho hapo chini 👇

Screenshot_20220302-165539.png


Screenshot_20220302-165641.png
 
Haina haja ya kupotosha,hiyo debt stress haitokani na mikopo ya Samia bali mikopo ya Mwendazake aliyochukua kwa riba kubwa na mda mfupi, yaani mikopo ya kibiashara ndiyo imewahi kuiva.

Sukuma gang hamna cha kujitetea ,nyie ndio mumetufikisha hapa.Kuna hotuba fulani Samia aliwahi zungumzia hili la debt stress kwamba Mwigulu alimpigia simu usiku kumwambia kwamba mikopo imeiva inatakiwa kurudishwa.
hakuna anayepotosha ila huo ndio uhalisia, mama anakopa sana maranyingi tukiongea tunaonekana kama mazuzu kwasababu tu shule zetu ndogo

mwenda zake ni rais wa tano tanzania., kaanza nyerere , mwinyi, mkapa, kikwete hatimaye mwenda zake

marais wote hao walikuwa wanakopa na mpaka mwenda zake anakufa deni la taifa lilikuwa trilion 56 yaan hilo ni deni la kuanzia nyerere mpaka mwenda zake

kwa tafsiri rahis hilo lilikuwa ni deni la karibu miaka 50 iliyopita

kwaiyo kulikuwa na wastan kama wa trilion 11+ kwa kila awamu ambayo ilikuwa ikiongoza kwa miaka 10

sasa mama kaingia hata mwaka bado deni line shoot mpaka trilion 70 yaan tafsir yake ni kwamba , mama ndani ya mwaka mmoja kakopa zaid ya trilion 14

sasa tutumie akili ya kawaida tu na tuweke unazi pembeni, wenzie ndani ya miaka 10 wamekopa trilion 11

yeye ndani ya miezi 11 kakopa trilion zaid ya 14 sasa hatuoni jamani ni jinsi gani uyu mama anakopa?

maana yake akikaa miaka 10 atakopa trilion 140 sasa , halafu bado tunadanganyana eti mwenda zake ndio kasababisha haya?

nilitaka niwawekee na video kabisa ya ushahid muone mwenda zake kaacha deni la tsh ngapi ila kwa bahati mbaya net haiko poa hivyo video inachelewa ku upload

we mtu hata mwaka hajafika kakopa zaid ya trilion 14 sasa akikaa miaka 10 si ndio tutafilisiwa? lakin et bado watu wanamuunga mkono tu , aisee watanzania sijui nan aliyeturoga
 
Umezaliwa mwaka 2000 na kulishwa crap mbalimbali za kumchukia Nyerere, ndiyo maana unafikiria kutoka kwenye "makabrasha." Mimi nimekulia ndani ya utawala wa Nyerere na ninaju nchi ilivyoenedshwa wakati wa utawala wake pamoja na siasa zake za ujamaa na kujitegemea; sikusimuliwa au kusoma kwenye makbrasha kama wewe.

Hakuna sehemu alikosema serikali iskubali misaada, bali alisema serikali haiwezi kujiendesha kwa kutegemea misaada na mikopo. Misaada yote aliyopewa Nyerere ilikuwa inakwenda moja kwa moja kule kulikokusudiwa na watoa misaada hiyo, haikuwa sehemu ya bajeti ya serikali. Hakukuwa na bajeti ya Jamal au ya Mtei au ya Msuya iliyokuwa na kipande kinachosema bajeti ya "serikali itakuwa kiasi kadhaa, kiasi kadhaa tutakusanya mapato ya ndani, na kiasi kadhaa tutategemea misaada na mikopo kutoka kwa wahisani." Kama hujui kwa nini Nyerere hakutaka kutegemea serikali misaada soma historia iliyoepelekea kuvunjika kwa uhusiano kati ya Tanzania na Marekani mwaka 1965 na kuvunjika kwa uhusiani kati ya Tanzania na Ujerumani mwaka 1964 baada ya Muungano.
Wacha porojo wewe,angetoa wapi za kununuliwa watu mpaka madaftari,afya bure...Tanzania ndiyo nchi iliyopkea misaada kuliko yoyote kipindi chake,Yale madeni akisema halipi alikopa Nani,Kama alikopa ni kweli hayakuwekwa kwenye bajeti au hukusikia!?...Kama hakuwa mkopaji mbona aling'atuka baada ya kutakiwa kufanya SAP 1&2!?...muungano wenyewe us &uk wanadai wao,Soviet nao wanasema wao
 
Soma vizuri hivyo vitambulisho hapo chini

View attachment 2136381

View attachment 2136382
sasa kama mwenda zake kaacha deni la taifa ni trilion 56 na sasa hivi dwni limefikia trilio 70 maana yake si lime shoot kwa trilion 14?

sasa hapo aliyeliyelipandisha mpaka kufikia trilion 70 ni nani kama sio yeye?

nina vidwo ya halima mdee hapa yaani hilo no deni la nje, ukiswma ujumlishe na madeni ya ndani jumla tanzania inadaiwa trilion 85

sasa ebu fikiria, 85 trilion hamuon kama ni pesa mingi sana?

natamani sana niwawekee video ya halima mdee hapa ila sasa video ina upload taratibu sana nilikuwa naijaribu kuituma tena hapa lakin ipo slow

ila deni lote kwa ujumla ndani na nke ni trilion 85
 
Wacha porojo wewe,angetoa wapi za kununuliwa watu mpaka madaftari,afya bure...Tanzania ndiyo nchi iliyopkea misaada kuliko yoyote kipindi chake,Yale madeni akisema halipi alikopa Nani,Kama alikopa ni kweli hayakuwekwa kwenye bajeti au hukusikia!?...Kama hakuwa mkopaji mbona aling'atuka baada ya kutakiwa kufanya SAP 1&2!?...muungano wenyewe us &uk wanadai wao,Soviet nao wanasema wao
Unashindwa kuelewa tofauti ya kupokea misaada na kutegemea misaada. Arguments zako nyingi ni za kuhisi na kuambiwa tu, hazina ukweli wowote, na mostly unakuza sanaevents za baada ya vita na kuzifanya kama vile ndiyo ilikuwa maisha ya Tanzania miaka yote hiyo.

Nyerere hakung'atuka kwa sababu ya kutakiwa kufanya SAP. In fact SAP ya kwanza iliwakilishwa bungeni na Profesa Malima mwaka 1981 akiwa waziri wa Uchumi huku Jamal akiwa Waziri wa fedha. Tanzania ilikuwa imeharibikia sana kiuchumi mara baada ya vita ndipo muda ambao serikali ilipotafuta mkopo wa IMF na World Bank. Hiyo siyo kuwa serikali ilikuwa inategema mikopo na misaada, bali ilikuwa ni swala la dharura kufuatia vita.

Mwaka 1975 wakati Jumbe anampendekeaza kuwa Mgombewa urais, Nyerere alisema kuwa hicho kingekuwa kipindi chke cha mwihso. Ila akataka waunganishe TANU na ASP kusudi kiwe chama kimoja( iltmbulika kuwa alitaka yeye abaki mwenyekiti wa chama hicho). TANU iliungana na ASP mwaka 1977, na hivyo Nyerere alikuwa aachie madaraka mwaka 1980. Kilichomfanya aendelee miaka mingine mitano ni kuwa uchaguzi wa 1980 ulikuwa ni mara baada ya vita na nchi ilikuwa haijawa satble khuku bado kuna majeshi yetu Uganda. Kwa akili yako unadhani kama angeamua aendelee kuwa madarakani ni nani angemzuia?

Kuhusu muungano, naona hata huujui chimbuko lake bali unababaisha tu
 
Tunajua tu kibaya anapewa Magufuli,kizuri anapewa Samia lakini sisi Watanganyika tumeisha kuwa na akili za kupambanua kati ya pumba na mchele.WB sio wajinga kiasi hicho, mbona hatujawai kusikia wanatoa ilo onyo Wakati wa Magufuli?tena pamoja na kukopa hayo mabenki watangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati, Magufuli alokopa kwa akili na akaweza kwenye miundombinu ya kunyanyua uchumi na alijitaidi kiziba mianya mingi ya uvujaji wa mapato, Sasahivi Samia kaisha kopa matrillion ya shilingi hayaonekani yamefanya Kazi gani, sanasana tunaambiwa yamejenga madalasa tu kitu ambocho ni ujinga mtupu, kukopa trion eti kwa ajili ya vyumba vya madarasa, Wakati hiyo kazi ni kazi za wakuu wa mikoa na wilaya,kitu ambacho kilifanywa na Magufuli alijenga vituo vya afya,masoko,na hayo madalasa, nakumbuka wakati Magufuli anachukua madaraka alikuta tatizo la madawati na upungufu wa vitanda Muhimbili na maospital mengine, atukuona akienda kukopa alipiga mkwala watendaji Wake hayo matatizo yakawa historia,Samia wenu anakopa matrillion alafu anazimalizia kwenye safari, Tanzania atuwezi piga hatua chini ya Samia, kama hatabadirika,Kama unabisha subiri uone amalize miaka ya mimne ya uongozi,
Thread closed.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Msiogope, mtasamehewa madeni kama mlivyosamehewa enzi zile za Kikwete mkishaonyesha mnafanya economic reforms za IMF na World Bank.

Acha kupotosha, madeni kusamehewa ilikuwa busara za Mkapa na sio Vasco Dagama anayemyumbisha sasa huyu mama anakwenda kama kishada bila DIRA!!
Samia sikiliza ushauri tafadhali, wizara ya fedha ni wizara muhimu ambayo unamuweka mtu mwenye weledi na aliyebobea mambo ya uchumu; huyo mtu wako hapo hana hivyo vigezo. Kwanini hutaki kumtumia huyo mma STARGOMERA aliyeko ulinzi kwenye hiyo nafasi? Ukifanya mabadiriko hayo utapungukiwa na stress na utapumua kidogot!! She has exposure na anakubalika internationally ukimfanananisha na huyo mtu wako hivi sasa focus yake iko kwenye kuwa RAIS!
 
Back
Top Bottom