Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,821
- 156,965
Tutaelewana tuAti katumiwa "matofari ya dhahabu". Tena kaibuka na slogan mpya ya " tutaelewana tuu"
Tutaelewana tuAti katumiwa "matofari ya dhahabu". Tena kaibuka na slogan mpya ya " tutaelewana tuu"
Mkuu, issue ya Dr. Shika nadhani imetengenezwa ili ku-divert attention ya watu kuhusu makontena ya 'the most loved son'!Ati katumiwa "matofari ya dhahabu". Tena kaibuka na slogan mpya ya " tutaelewana tuu"
Zile zilikua za bank. Pesa za mtu binafsi kusafirisgwa kama maembe wapi na waoiUsiwe msahaulifu kaka. Alizokwapua Kasusura zilikujaje ?
Yule mtangazaji wa ayo na dr wote ni wa kusaidiwa wapelekwe melembeWagonjwa wapo mtaani, Wazima wamelazwa Wodini.
hahaaa...na huwa haishiwi hojaHuyu akikamatwa anaweza kujitetea tu kwani aliposema B.O.T huenda alikuwa anamaanisha
BANK OF TOGO
hovyo sana Hawa JamaaAkili za kutuhadaa wanazo ila za kufanya dili kwa usmart ndio hovyo
Poa. Me nafuatilia hapa bas we fuatilia UswisiLakini sidhani kama hela inatengenezewa hapa if am not Wrong huu mzigo unatokaga uswisi, Hebu fuatilia Jombaa
NakujaaaaBaadea Uje four ways unywe Westestainer Mbili kwa bili yangu. Samahani kama umefunga lakini
Poa. Me nafuatilia hapa bas we fuatilia Uswisi
Yule mtangazaji wa ayo na dr wote ni wa kusaidiwa wapelekwe melembe
mkuu hakuna kitu kama hicho ungekuwa smart ungejua huyu mzee anapigwa hebu google hilo jina la mtumaji wa pesa utagundua ni scammer maarufu tu only small mind wanaukubali uongo huu.Lakini huyu mzee kuna ukweli flan ambao small mind haiezi muelewa. Me naamin kwamba tutaelewana mdogomdogo tu
Zikija uniambieAnasema hayo mabilioni ni tone la mvua kwa hiyo tusubirie mvua yenyewe!
Pesa huweza kupita ikiwa ni kwa cargo/parcel na sio kwa kubeba mzigo wote inpersonHyo shika ni muhuni anacheza na akili za watu,tangu lini hela kiasi hicho kikapitia airport tena Cash kama milioni kumi tu sheria ya benk inakataa.
hahahahhahahahahahHuyu akikamatwa anaweza kujitetea tu kwani aliposema B.O.T huenda alikuwa anamaanisha
BANK OF TOGO
Kuna ka ukweli.Halfu inaonyesha hata Dr Shika mwenyewe kaingizwa mkenge. Japokuwa akili nazo zimedata lakini haya anayofanya anafanya akiamini kuwa ni kweli watamtumia fedha. Nakumbuka siku za nyuma alipiga picha akiwa posta eti anatuma ''ada'' ili aletewe fedha. Sasa haya ma-document waliyomtumia inaonyesha wanataka kumtoa tena fedha nyingine kwa kisingizio cha fee ya fedha alizotumiwa. Na serikali ipo inaangalia mtu mwenye ugonjwa wa akili akilifanyiwa utapeli wa namna hii. Hata hao ma-agent anaotumia kutuma fedha nadhani ilitakiwa wamkatalie.