Benjamin William Mkapa nimjuaye...

Wapi rais wangu mstaafu mh benjamin mkapa? I wish ungeingia huku uone yanayoandikwa, I wish uone haya maovu yaliyofanyika enzi za utawala wako...yumkini ulidhani watanzania hawajui kumbe wanajua yotee...dhambi hii mtatubu wapi? anyway....heri ya mwaka mpya mh.
 
Last edited by a moderator:
ni raisi mstaafu wa tanzania ambaye atakufa na laana ya watanzania kama hato omba/kutubu dhambi zake akiwa hai

We koma kabisa,hakuna mTanzania atakae mlaani Mkapa.
Kama wanataka wamlani Mbowe kwanza kwa kuigeuza cdm saccos.
Nyambaaaff sana
 

Mngekuwa na uwezo na akili za kutosha basi haya maneno mngemueleza Mbowe basi.

Lakini sababu hamuwezi, hiki mnachokieleza humu ni unafiki wa kiwango cha PhD.

Badilikeni Nyumbu nyie
 
Last edited by a moderator:
Naunga Mkono hoja.
RIP BWM.
P
 
HV ndivyo inavyopaswa kumuongelea marhum umefanya vyema mtoa mada.
 
Daaa
 
Hivi kaka upo,amekuwa rais aise
 
Aiseee nimekuelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…