pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,206
- 6,439
Bora Mo tu kachekecha kaona bora arudi kwenye biashara za familia tu huyo katusua hawa wa maneno maneno ndio wapigaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua watu wengine sio makosa yao... tatizo ni betriii.... hebu sema betriiiKama wewe umeona me nina wivu kumshauri kijana mwenzangu kwamba ana uwezo mkubwa na anaweza kufanya zaidi ya anachofanya sasa basi nahisi una shida kichwani
Angeleta chai nyingine sio ile ambayo haina hata sukari....35m per month sio pesa ya kitoto.
Watanzania wengi ni washamba. Mengi hawayajui wala kuelewa, lakini ni mabingwa wa kubisha.400m kwa mwaka. izo ni mil 30 na kitu, kwa nje sio nyingi kivile
YouChuki ya kumwambia jamaa ana potential na apige kazi? hebu tuwe realistic. nani anaktaa mshahara wa million 400 ili arudi Tanzania? kwa mapenzi gani wa nchi yako? hizo story za abunuasi sio za watu wazima dogooo piga kazi piga kazii acha stori za niliacha kazi nzuri marekani hii ni 2018 watu wanapiga simu hadi uko marekani kuulizia data unazotoa kumbe za uongo ndo mana unaambiwa piga kazi acha longo longoo tunajua tunachokiongelea so usione kama tunahate ni ushauri tu anaweza kuuchukua au kuuacha..after all ukiishaamua kuwa public figure kubali kukosolewa unapokosea
Wewe kweli ni mbongo. You speak like a typical African. Na yale mambo yetu ya "tutaona ataishia wapi" na "ngoja tuone". Personally, sijui ana malengo gani ndani yake huyu Benji, ila there are different ways to look at what he was trying to do. Kweli, yawezekana anataka kujikweza, he's branding himself, au anajaribu kuinfluence our ways of thinking kama wabongo. Kweli wachawi ni sisi wenyewe wabongo. Our first instinct ni kukatishana tamaa. Oh my beautiful Tanzania, a great country indeed full of good for nothing people. Itachukua muda sana kuamsha watu nchi hii, hebu wengine tuanze kwa kuamsha wale walio tayari kuamka.Wapendwa eeh, Msiwachukie hawa vijana Benji na dadake Bernice. Kwa kifupi, wame master the art of story telling and capturing peoples attention!
Nimeongea nao mara chache, nikajiuliza swali hilo hilo! wewe kusoma Harvard, Princeton kama mTanzania pekee ina msaidia nani? umeifanyia nini Tanzania na kisomo chako? Maana Kijana alivorudi tu TZ alilipia matangazo IG sponsor kuwa ame graduate kaacha kazi ya hayo mapesa. Kiukweli, hakuna Graduate anaemaliza shule dunia hii akapata kazi ya mshahara huo, hicho kitu hakipo. Ila unaona kuwa stori imeongezewa mnofu kidogo. Ila nampa 5 kwa kutumia first class education kujiuza. Anauza story, natumai ana mipango ya kutumia hii attention vizuri, kwasababu itakuwa useless effort kama hana, but he a smart kid.
This is what education buys you people. The gift of gab an opportunity to make money from fools and friends.
Afu msubiri muone atakavyojinadi na kushukuru support yetu humu Jamii Forum kwa kumtambua mchango wake katika jamii! Hahahaha! Wait for it!! waaaiiit....4.....3......2.5......2......