Benjamin Fernandes Ni nani?

Shida kubwa tuliyonayo Watanzania, ni kudharau Vya kwetu. Huyu dogo ni kichwa, nadhani angekuwa RAIA WA nchi za magharibi, BASI umaarufu wake ungekuwa mkubwa zaidi. Tupeane credits pale panapo stahili, sio kuoneana wivu na kurudishana nyuma katika maendeleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nafikiri tuache kuwarushia mawe vijana hao, isiwe kama wale wanaowakandia wanazmosoma vitabu kwenye mabasi (wanayofanya wasomi), hayo ni mawazo madogo. Badala yake tutambue uzalendo wao kutaka kufanya kazi basi hapa Tanzania. Vinginevyo tunawakatisha tamaa. Ukweli ni kwamba watu wazuri siyo wengi kama mnavyofikiria. Ni wachache, na hao wachache ni lazima tuwavute na kuwaweka sehemu za kazi ambapo watakuwa msaada kwa Taifa. Saivi kila mtu, wakiweno wanasiasa wakubwa wanamsifu Ruge (RIP). Najiuliza kama Marehemu alikuwa mzuri hivyo kwa nini hatukumpa kazi itakayotoa mchango mkubwa zaidi kwa Taifa letu? Je, inawezekana ni kwa sababu hatuna utaratibu mzuri wa kutafuta "vichwa" na kuwaweka katika sehemu zenye changamoto kwa maendeleo ya nchi yetu?
Lea ombwe lililopo kwenye taasisi zetu, tunategemea kuwepo na mpango masudi na endelevu wa kuwatafuta hao "vichwa" watusaidie kwenda kuziba hiyo mianya ya uwezo. Wanaingizwa humo, na lea kuwa ni vichwa wanajifunza kazi na kuelewa haraka kiasi kwamba anapandishwa haraka kufikia ukurugenzi akiwa na miaka 25!!
Salim Ahmed Salim alikuwa balozi wetu Misri akiwa na miaka 22!! Wako akina Salim wengine, kinachokosekana na mkakati wa kuwaona na kuwapa kazi!
 
Kwa mindset yako mil. 35 kwa mwezi sio ya kitoto, but all I can tell you USD 189,000 annually isn't such a big deal. I know people who are earning USD 500K, and it's quite a common feat. I understand why alikataa huo mshahara. He has a mindset that most of you gossipers here do not have. I suggest you read the book called the Magic of Thinking Big by David Schwartz, understand it very well, contrast with how most of us live, then start practicing the suggestions given by the author. I promise you wouldn't be thinking the way you do in 3 months time. Thank me later 😁
Angeleta chai nyingine sio ile ambayo haina hata sukari....35m per month sio pesa ya kitoto.
 
With your sort of mindset, hutakataa huo mshahara, ila wapo wanaoukataa. People have got dreams and ambitions. You don't have their mindset, so you clearly won't understand. You live in a different reality. Usifikiri kila mtu anafikiri kama ufikirivyo wewe. Learn that, and you'll start seeing things in a different perspective.
Chuki ya kumwambia jamaa ana potential na apige kazi? hebu tuwe realistic. nani anaktaa mshahara wa million 400 ili arudi Tanzania? kwa mapenzi gani wa nchi yako? hizo story za abunuasi sio za watu wazima dogooo piga kazi piga kazii acha stori za niliacha kazi nzuri marekani hii ni 2018 watu wanapiga simu hadi uko marekani kuulizia data unazotoa kumbe za uongo ndo mana unaambiwa piga kazi acha longo longoo tunajua tunachokiongelea so usione kama tunahate ni ushauri tu anaweza kuuchukua au kuuacha..after all ukiishaamua kuwa public figure kubali kukosolewa unapokosea
You
 
Wapendwa eeh, Msiwachukie hawa vijana Benji na dadake Bernice. Kwa kifupi, wame master the art of story telling and capturing peoples attention!

Nimeongea nao mara chache, nikajiuliza swali hilo hilo! wewe kusoma Harvard, Princeton kama mTanzania pekee ina msaidia nani? umeifanyia nini Tanzania na kisomo chako? Maana Kijana alivorudi tu TZ alilipia matangazo IG sponsor kuwa ame graduate kaacha kazi ya hayo mapesa. Kiukweli, hakuna Graduate anaemaliza shule dunia hii akapata kazi ya mshahara huo, hicho kitu hakipo. Ila unaona kuwa stori imeongezewa mnofu kidogo. Ila nampa 5 kwa kutumia first class education kujiuza. Anauza story, natumai ana mipango ya kutumia hii attention vizuri, kwasababu itakuwa useless effort kama hana, but he a smart kid.

This is what education buys you people. The gift of gab an opportunity to make money from fools and friends.

Afu msubiri muone atakavyojinadi na kushukuru support yetu humu Jamii Forum kwa kumtambua mchango wake katika jamii! Hahahaha! Wait for it!! waaaiiit....4.....3......2.5......2......
Wewe kweli ni mbongo. You speak like a typical African. Na yale mambo yetu ya "tutaona ataishia wapi" na "ngoja tuone". Personally, sijui ana malengo gani ndani yake huyu Benji, ila there are different ways to look at what he was trying to do. Kweli, yawezekana anataka kujikweza, he's branding himself, au anajaribu kuinfluence our ways of thinking kama wabongo. Kweli wachawi ni sisi wenyewe wabongo. Our first instinct ni kukatishana tamaa. Oh my beautiful Tanzania, a great country indeed full of good for nothing people. Itachukua muda sana kuamsha watu nchi hii, hebu wengine tuanze kwa kuamsha wale walio tayari kuamka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom