Hivi kwa nini lakini unapenda kunizingizia ivo..... wewe unaujua kabisa ugonjwa wangu.......
Jamani....sa si usubiri nimalize kwanza mkopo....ukikigonga hichi kivitz inamaana mkopo ntakua nimekuchukulia wewe. Acha haraka.
mkuu bora umeshituka...maana hiyo yangu sijasema kama ni gari!!!Hahaha....nilishtukia mkuu, ndio maana nimemtosa....hii daslam hii.
ha!!we hujui kutembea ni hatua akianza kujifunza kitachofuata naomba niendeshe kidogo... baada ya hapo ninunulie na mimi gari bora benteke umeshituka aissss!ameomba kwenda driving school hajaomba kuendesha hicho kivtz chako, wewe ndo hujamuelewa
JK alisema za kwake changanya na zako.
ha!!we hujui kutembea ni hatua akianza kujifunza kitachofuata naomba niendeshe kidogo... baada ya hapo ninunulie na mimi gari bora benteke umeshituka aissss!