Bendi mpya ya Chato Musica yaanzishwa

Bendi mpya ya Chato Musica yaanzishwa

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
680
Reaction score
2,335
Bendi mpya ya Chato Musica imeanzishwa huku wakitoa kibao chao cha kwanza kikiitwa "Hapa kazi tu" ikiwa na kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya 5 inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.

Nini maoni yako kuhusu bendi hii, unaitabiria itafika wapi?
IMG_20191230_193913.jpg
 
Back
Top Bottom