Bendi mpya ya Chato Musica yaanzishwa

Bendi mpya ya Chato Musica yaanzishwa

Bendi mpya ya Chato Musica imeanzishwa huku wakitoa kibao chao cha kwanza kikiitwa "Hapa kazi tu" ikiwa na kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya 5 inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli.

Nini maoni yako kuhusu bendi hii, unaitabiria itafika wapi?
View attachment 1307616
Bado inaishi au nayo...?
Ndio maana biblia inamlaani amtegemeaye mwanadamu
 
Back
Top Bottom