CCMkuelekeaUchaguzi
Senior Member
- Aug 18, 2015
- 179
- 77
ushindi upo na tutashinda, tunahitaji afya bora, ukakamavu, utelekezaji, uhadilifu na uchappa kazi #hapakazitu
Bendera zenyewe zinapandishwa usiku!!! Vijana wanapewa mtonyo ndio wanazipandisha!!! Hahahahahaaaa
Mna kauli ambazo zitawafanya na wao wenye Magufulı wawakatae nanyi.Kuweni makinı,km nyie mwaenda Mwanza,Tabora,Shinyanga,Geita,Sımiyu,Mara na Kagera nao wanawakarimu,nanyi wakarimunı wanapokuja kwenu.Tz ni moja.
mi mwenyewe niko ready ...!ulizia wakazi wa hapa! Nini kinachojiri! Bendera za ccm zinapepea kila mahali arusha! Hata pale central police kuna picha za mgombea wa ccm, na bendera za ccm, lakini chadema ndio chama tawala arusha! Mabango na bendera za ccm arusha, zipo kwa ajili tu, ccm na serikali yake wanawatumia polisi kukuyalinda mchana kutwa, na usiku kucha! Ila watu hawako radhi kuona ccm ikitamba hapa mjini kwetu!!! Madiwani wote watakuwa wa chadema, na mbunge atakuwa wa chadema! Nina uhakika!
Mimi binafsi niko tayari kwa vita!!!!
Bendera ni ishara muhimu !
Kabla ya leo hatukuzowea kuona bendera za ccm Arusha.
Kipindi cha Chadema asilia usingiweza kuona bendera za CCM mtaani lakini mambo yamebadilika
Ninavyofahamu CCM Arusha ilishazikwa siku nyingi, Hizi Bendera huwa zinawekwa usiku wa manane, na walinzi wanawekwa kuzilinda 24/7 .. Kuna sehemu moja pale mwanzo wa barabara ya kuelekea SOMBETINI, NGUSERO, kuna kituo cha bodaboda, karibu na baa ya EMAYANI.
Kile kituo cha BODABODA, kimefungwa, madereva toyo waliokuwa pale wamekimbia, wengine wako LOCKUP mpaka sasa! baada ya kughasiwa na Polisi, eti kisa kuna karatasi ilitokuwa na TANGAZO la chagua MAGUFULI lilibandikwa pale kituoni kwao likachanwa na wahuni! ARUSHA sio mahali salama kwa CCM!
Wenyekiti wa serikali za mitaa ya Arusha wawili wamehamia chadema leo.
Usione ajabu Arusha kuwa na hizo bendera, CCM ina wanachama kila kwenye nyumba kumi, mashina na matawi kila mtaa. Hata kama watu wa Arusha wanaipenda sana CHADEMA lakini wapo wanaoipenda zaidi CCM. Endeleeni kuamini kuwa mko wengi sana huko Arusha halafu matokeo yatawaonesha kua CCM bado ni chama dume na kitaongoza kwa majimbo mengi huko huko Arusha
kweli Bender's zipo mana tunaamini hazipig kula, msidanganyane huko CCM arusha hatuitakkkkkkkkk
Kama bendera na mabango yanapiga kura basi Magufuli Aapishwe aende ikulu.
Uliwahi kuleta mada hii hii kuwa bendera za ACT zimepamba mji wa ARUSHA..Akili yako kama ya mutoto.,leo ukatoa neno ACT ukaweka CCM
Halafu hapo ndio TWAWEZA wana kwenda kutafiti na kuja na matokeo ya "Bara bara za Moshi to Arusha Magufuli anaongoza kwa asilimia 80" ( 80% :bathbaby: )Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Sambazeni sana hayo mabendera yenu ila mjue hayo ndo yanawatia hasira wananchi. Arusha ccm mnajifurahisha tuu.
Jiandae kura malimao, Arusha are heart voters wa Magufuli, a green colour has raised in A town, we support Magufuli, we support the pusher, will push out Ukawa