amu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2012 Posts 16,143 Reaction score 31,275 Feb 26, 2022 #41 Bondpost said: Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona Click to expand... Hii video inachekesha mno.
Bondpost said: Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona Click to expand... Hii video inachekesha mno.
amu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2012 Posts 16,143 Reaction score 31,275 Feb 26, 2022 #42 Kalunya said: alisema atamfufua Kanumba Click to expand... Ana bonge la eneo
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,307 Reaction score 18,704 Feb 26, 2022 #43 Huwa anabadilika sura mzuka ukimpanda yaani ile nguvu ya yeeezebuli ikimvaa
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,307 Reaction score 18,704 Feb 26, 2022 #44 Sema huyu mfalme ana msambwata si wa nchi hii. Ngoja nihamie kanisani kwake nishibe macho
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 16,472 Reaction score 18,515 Feb 26, 2022 #45 Kalunya said: alisema atamfufua Kanumba Click to expand... Manamake mengi ni kama mataahira fulani!
Best Vibez Store Senior Member Joined Nov 23, 2021 Posts 131 Reaction score 124 Feb 26, 2022 #46 Bondpost said: Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona Click to expand... Dah Africa tunasafari ndefu sana mpaka kufikia hata ulaya ya mwaka 70 tuuu
Bondpost said: Hii hapa mie sikuwa hata namfahamu ndio nimeona Click to expand... Dah Africa tunasafari ndefu sana mpaka kufikia hata ulaya ya mwaka 70 tuuu
samurai JF-Expert Member Joined Oct 16, 2010 Posts 11,478 Reaction score 24,250 Feb 26, 2022 #47 Bongo burudani haziishi.. Nikimalizana na michakato ya Ukraine, nitaingia Mwanza hapo nimtafute huyu mama...
Bongo burudani haziishi.. Nikimalizana na michakato ya Ukraine, nitaingia Mwanza hapo nimtafute huyu mama...
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,307 Reaction score 18,704 Feb 26, 2022 #48 Manjagata said: Manamake mengi ni kama mataahira fulani! Click to expand... Ndio uwaweka mjini waganga na manabii
Manjagata said: Manamake mengi ni kama mataahira fulani! Click to expand... Ndio uwaweka mjini waganga na manabii
Segito wa Kalenga JF-Expert Member Joined Aug 28, 2014 Posts 609 Reaction score 864 Feb 26, 2022 #49 nguvu said: Sio mazombi kweli hao Click to expand... mbona kama zile movie za mazombie live live??ππππ
nguvu said: Sio mazombi kweli hao Click to expand... mbona kama zile movie za mazombie live live??ππππ
O opotopot88 Member Joined Jun 14, 2021 Posts 41 Reaction score 102 Feb 26, 2022 #50 Kachapwa fimbo na kuwekwa ndani Leo mama zumaridi.polisi wawewapa kichapo waumini pia na kuondoka na mama na baadi ya wafuasi
Kachapwa fimbo na kuwekwa ndani Leo mama zumaridi.polisi wawewapa kichapo waumini pia na kuondoka na mama na baadi ya wafuasi
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 16,472 Reaction score 18,515 Feb 26, 2022 #51 Kalunya said: Ndio uwaweka mjini waganga na manabii Click to expand... Yaani ni shida sana! Mengine mpaka yanavuliwa vyupi yanachokonolewa na manabii eti yapate upako!
Kalunya said: Ndio uwaweka mjini waganga na manabii Click to expand... Yaani ni shida sana! Mengine mpaka yanavuliwa vyupi yanachokonolewa na manabii eti yapate upako!
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,307 Reaction score 18,704 Feb 26, 2022 #52 Manjagata said: Yaani ni shida sana! Mengine mpaka yanavuliwa vyupi yanachokonolewa na manabii eti yapate upako! Click to expand... Wamevurugwa
Manjagata said: Yaani ni shida sana! Mengine mpaka yanavuliwa vyupi yanachokonolewa na manabii eti yapate upako! Click to expand... Wamevurugwa
Kalunya JF-Expert Member Joined Oct 5, 2021 Posts 13,307 Reaction score 18,704 Feb 26, 2022 #53 Religion Brains wash ndo biashara inayolipa sana.