Benard Membe shujaa, Karibu Yusuf Manji Uraiani

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,493
54,900
Tangu mwanzo nasema, Siasa za Nchi hii zina wenyewe, haijalishi wapo nje ya nchi wala ndani ya Nchi. Kwa taarifa tu, wenye nchi hawaogopi Vitisho hata Uongee kwa kufoka hadi Mic ilowane, wenye nchi hawaogopi.

Siku moja kabla ya Manji Kukamatwa alisema "Huwezi kuniita kama Mbwa wewe njoo, wewe ni mtoto mdogo kwangu". Alisema mimi situmii madawa ya kulevya, Mahakama ndo itaamua hii kesi.

Baada ya Siku Benard Membe akataka kuongea na Waandishi wa habari akapigwa Stop kuzungumza.
49113d650cc9ba8853b3a3b243b6cc64.jpg

Vikao vya CCM vilivyomteua Magufuli kupeperusha bendera ya CCM, walikamatwa watu na begi limejaa noti wakadai zimetoka kwa Manji.

Tangu siku hiyo Membe alikasirika sana kufikia hatua ya kuanza kukosoa uongozi wa Magufuli.

Baadhi ya kauli zilizonkera rais na kuwakera wanaccm wachumia tumbo ni ambayo Membe alisema Magufuli kateua baraza kubwa la Mawaziri kawaweka kwenye mafungu waonekane wachache ila huyu rais hana jipya.

Pia Membe alionya hata kama tajiri vipi huwezi sema hutasafiri, nawahakikishia Magufuli lazima ataenda nje ya nchi. If you isolate yourself, you will be isolated (ukijitenga, utatengwa).
Membe amkosoa Magufuli

Membe: Magufuli anawafukuza watumishi kiurahisi kwakuwa hakuwateua yeye

Kwanini wanasisitiza rais aende nje?

Pamoja na manji kubambikiwa kesi zisizo na dhamana na kushikiliwa bila dhamana Polisi, mwisho wa siku katoka.

Unajua kwanini Membe alikatazwa kuongea? Mkutano wa Membe na wanahabari waahirishwa

Watu wamepewa kichwa wakala na Masikio, hii nchi ina yenyewe. Cheka na watu uvae viatu.

Wale matomaso, Yusuf Manji awe case study kwenu. Kila nchi ina Wababe.

Matomaso wengine watumie case study ya Lissu. Lissu kapigwa risasi lakini bado watu hawaogopi kuikosoa Serikali tena ndo wameongezeka.

Roma anakwambia weka bunduki chini tubishane kwa hoja.
 
angalieni msimponze Manji, by now he has learnt his lessons, hata Lissu ukipona kabisa na kurejea kwenye siasa he'll never be the same again. Kwa binadamu yoyote, kupitia mapito kama aliyopitia, lazima ujitafakari!, hata Dr. Ulimboka, he is not the same again. Mimi pia niliponea kifo kwenye tundu la sindano, I'm not the same again!. Under normal circumstances, life is just life, na unaweza ukafanya lolote na kusema lolote, lakini ukiishapitia mapito fulani, has near death experience, life ina change, inakuwa has more meaning than before!

P
 
Tangu mwanzo nasema, Siasa za Nchi hii zina wenyewe, haijalishi wapo nje ya nchi wala ndani ya Nchi. Kwa taarifa tu, wenye nchi hawaogopi Vitisho hata Uongee kwa kufoka hadi Mic ilowane, wenye nchi hawaogopi.

Siku moja kabla ya Manji Kukamatwa alisema "Huwezi kuniita kama Mbwa wewe njoo, wewe ni mtoto mdogo kwangu". Alisema mimi situmii madawa ya kulevya, Mahakama ndo itaamua hii kesi.

Baada ya Siku Benard Membe akataka kuongea na Waandishi wa habari akapigwa Stop kuzungumza.
49113d650cc9ba8853b3a3b243b6cc64.jpg

Vikao vya CCM vilivyomteua Magufuli kupeperusha bendera ya CCM, walikamatwa watu na begi limejaa noti wakadai zimetoka kwa Manji.

Tangu siku hiyo Membe alikasirika sana kufikia hatua ya kuanza kukosoa uongozi wa Magufuli.

Baadhi ya kauli zilizonkera rais na kuwakera wanaccm wachumia tumbo ni ambayo Membe alisema Magufuli kateua baraza kubwa la Mawaziri kawaweka kwenye mafungu waonekane wachache ila huyu rais hana jipya.

Pia Membe alionya hata kama tajiri vipi huwezi sema hutasafiri, nawahakikishia Magufuli lazima ataenda nje ya nchi. If you isolate yourself, you will be isolated (ukijitenga, utatengwa).
Membe amkosoa Magufuli

Membe: Magufuli anawafukuza watumishi kiurahisi kwakuwa hakuwateua yeye

Kwanini wanasisitiza rais aende nje?

Pamoja na manji kubambikiwa kesi zisizo na dhamana na kushikiliwa bila dhamana Polisi, mwisho wa siku katoka.

Unajua kwanini Membe alikatazwa kuongea? Mkutano wa Membe na wanahabari waahirishwa

Watu wamepewa kichwa wakala na Masikio, hii nchi ina yenyewe. Cheka na watu uvae viatu.

Wale matomaso, Yusuf Manji awe case study kwenu. Kila nchi ina Wababe.

Matomaso wengine watumie case study ya Lissu. Lissu kapigwa risasi lakini bado watu hawaogopi kuikosoa Serikali tena ndo wameongezeka.

Roma anakwambia weka bunduki chini tubishane kwa hoja.
Stori za vijiweni.
 
Yaani ww [HASHTAG]#figganigga[/HASHTAG] shida yako umkosoe Mh. Rais wetu, yaani hapo unafurahiiii.. Ww ni CHADEMA, Manji ni CCM, sijui umepata wapi uhusiano wa kumkosoa na kum undermine Mh. Rais wetu JPM kwa swala la Manji.. Can you prove ulichoandika? Mh. Rais anafanya kazi nzuri kabisa, acheni tabia zenu za ajabu
 
angalieni msimponze Manji, by now he has learnt his lessons, hata Lissu ukipona kabisa na kurejea kwenye siasa he'll never be the same again.

P

Misukosuko humkomaza mtu hao hawataogopa kamwe sio sawa na mtu ambae hajapitia hizo hatua ambazo wamekutana nazo pia wanaweza kuongeza mapambano zaidi kwa waliowafikisha hapo binadamu tunavinyongo hasa unapoteswa.
 
L
angalieni msimponze Manji, by now he has learnt his lessons, hata Lissu ukipona kabisa na kurejea kwenye siasa he'll never be the same again.

P
Labda Manji si Lissu,take my words Lissu hatorudi nyuma hata kidogo.

Najua wewe baada ya kukukuta yaliyokukuta umekuwa sio kama yule Mzee wa Kiti Moto, Lissu nni aina ya MTU tofauti kabisa na wewe.Jikumbushe Mapito tote ya Lissu kama yaliwahi mrudisha nyuma.Hato kuwa na chakupoteza tena Zaidi yakusonga mbele.
 
Membe ni mwanaCCM kelele za nini?
Kuna kipindi mlikuwa mnasema Magufuli ni Chadema na anatekeleza sera zenu.

Mtaendelea kuwashabikia wana ccm tu urais mtausikia kwenye TV
 
angalieni msimponze Manji, by now he has learnt his lessons, hata Lissu ukipona kabisa na kurejea kwenye siasa he'll never be the same again.

P
Nani alikudanganya mkuu nimjuavyo lissu atakuwa ni zaidi ya alivyokuwa Nina Imani mbele ya safar lissu ataweza kuja kuudondosha huu utawala...maana yule MTU anaonge kauli ambazo ktk hali hali kawaida huwezi fikiri mtu wa daraja kama yeye anaweza kumwambia mkuu wa nchi vile...rejea kauli ya jk ni bora slaa kuwa rais kuliko Tundu lissu kuwa mbunge magenious ndivyo walivyo...tupo humu Mzee utaamini siku moja.
 
Democracy must be built through open societies that share information. When there is information, there is enlightenment. When there is debate, there are solutions. When there is no sharing of power, no rule of law, no accountability, there is abuse, corruption, subjugation and indignation.



Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana.
 
Membe ni mwanaCCM kelele za nini?
Kuna kipindi mlikuwa mnasema Magufuli ni Chadema na anatekeleza sera zenu.

Mtaendelea kuwashabikia wana ccm tu urais mtausikia kwenye TV

Tatizo mnapigania uraisi sio nchi na hicho ndicho unachowaza ( vyeo vinaitesa ccm mpo tayar kuua ili muendelee kuwa maraisi) sio maisha ya mtanzania picha ndogo tu ya arusha ya ununuaji wa madaraka inatoa picha kwa hiki ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom