Will i.a.m
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 347
- 49
Ben Paul nae ameandaa shoo yake na kupanga kiingilio kikubwa kabisa katika histori ya muziki wa bongoflava tangu uanzishe na kwa mara ya kwanza kiliwekwa na msanii Diamond kwenye shoo yake ya Diamond are forever.
Diamond ndio msanii wa kwanza kuweka kiingilio cha 50 elfu ambacho ni kikubwa sana tangia Tanzania ipate uhuru,kila la kheri Ben Paul na najitahidi kufuata nyayo za msafi kwani shoo ya Ben Paul itakua ya lisaa limoja.
Diamond ndio msanii wa kwanza kuweka kiingilio cha 50 elfu ambacho ni kikubwa sana tangia Tanzania ipate uhuru,kila la kheri Ben Paul na najitahidi kufuata nyayo za msafi kwani shoo ya Ben Paul itakua ya lisaa limoja.