NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
D,,,,,D,,,,D,,Chidi Gwaji boy.Rashid Gwajima
D,,,,,D,,,,D,,Chidi Gwaji boy.Rashid Gwajima
Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekeeMuislamu hautaki mabwabwa, sasa huyo kijana ameacha mambo ya ubwabwa?
Pia sina uhakika kama maisha ya huyo kijana yalikuwa ya kikristo hata chembe. Naona kama njia ya kutafuta kick.
huyo kipoozeo ni laazizi wako niniJina la kiislam aitwe Kipoozeo.
Kuoa wake 2/3/4 ni bora kuliko kujaza vimada wa kuwa unapiga mashine na kuacha.Anatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Ni Shehe wetu sisi vijana wa Dar.huyo kipoozeo ni laazizi wako nini
Kaifata haki na si kingineOppss shukrani kumbe sio kwa ajili ya mkewe
Sasa kabadili kwa sababu zipi, maana nikihisi kwa ajili ya ndoa
Washaachana. na Anerlisa kwa sasa yupo anadate na mtoto wa Peter Keneth....Anerlisa ni mkatoliki hivyo kama kabadili dini si kwa ajili ya mkewe.
Embu wekawazi hapa nguvu gani na kiasi gani cha fedha kilichomshawishi Ben Pol mpaka ameshawishika kuwa Ulamaa?Waislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Hakuna dini inataka mabwabwa....
Pole kwa kupoteza bwabwa lako, umebaki wewe tuu kumrudia Muumba wako
Waislamu hua wananiacha hoi, yaani dini yao ni kama bidhaa, kutumia watu maarufu na wasanii kuitangaza.
Waislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini, utafikiri wanatangaza bidhaa.
Hua najiuliza kwani kwenye dini yao moyo wa msanii una thamani kubwa sana kwa allah wao kuliko mtu asie maarufu ama msanii, mbona wanatumia nguvu nyingi sana kushawishi watu maarufu kuslimu?
By the way Mungu au kitu kinaitwa Mungu hakipo.
Asee we jamaa ni muongo sijapata kuona😅😅😅😂 hao waislam wanaolipa watu ili wapate hiyo unayoiita millege ya kidini wako hapa hapa bongo au? Au ndo kina mazinge na mwenzie kipozeo? 😂 kwa taarifa yako tu mizigo inatolewa huko kwenu kulikojaa utapeli na uongo. Hivi maisha ya mazinge na mwingira ni Sawa? Na je maisha ya kipozeo na gwajima? Na Hawa wote Wana daraja moja kiupande wa dini,,, ila kwa kuwa huko Kuna miela ya bure na upigaji ndio manaa Hali zao zimetofautiana. Huku kila kitu kinafanywa kwa ajili ya mwenyezimungu na kujitolea na ndio maana Hakuna shekhe tajili,,,, Sasa hizo hela unazosema wewe tunawapa watu maarufu ili wautangaze uislam sijui hela hizo ni zipiWaislamu hutumia nguvu kubwa sana na pesa nyingi kumshawishi mtu maarufu asilimu ili iwape mileage ya kidini