2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,616
Aya imeshuka kutoka wapi?Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekee
Ndukiiiii ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Aya imeshuka kutoka wapi?Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekee
Ndukiiiii ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Ndo nani?Washaachana. na Analisa kwa sasa yupo anadate na mtoto wa Peter Keneth....
RashidAmepewa jina gani au na yeye ni chidi?
Kuna sehemu nimeandika aya hapo๐ณAya imeshuka kutoka wapi?
Anaenda kumpigia kampeni Askofu Rashid
How????Vizuri kwa kuukimbia ukafiri.
Marioo suguAnatafuta sababu ya kuoa wake wanne huyo
Kabadili kabila toka Mgogo kuwa mwarabu ila ngozi imebaki nyeusi
Peponi Waislamu wameahidiwa mito inayotiririka pombe,na kuingiliana kimwili, huku wanaume wakiahidiwa kupewa mabinti bikira 60 na nguvu za kiume x100. Nadhani hicho ndicho kilichomvutia.Quran 47:15Hajui alichokifanya huyu jamaa, ukijitoa kwenye uislamu kitabu chao kinasema unastahili kuuliwa, dini upuuzi sana, aliyetunga hivi vitabu alituvuruga sana akili
Mfalme tu amerudi kuipbad taarabuHuyu kakutana na masharti mazito, hiyo yote ili apewe uroda tu wa kiislam