Ben Paul abadili dini kutoka ukristo na kuwa muislamu

Hakika Mwenyezi Mungu mwingi wa kusamehe kwa wale watakao rudi kwake. Mwenye kutoa hukumu ni Maulana pekee


Ndukiiiii ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
Aya imeshuka kutoka wapi?
 
Hajui alichokifanya huyu jamaa, ukijitoa kwenye uislamu kitabu chao kinasema unastahili kuuliwa, dini upuuzi sana, aliyetunga hivi vitabu alituvuruga sana akili
Peponi Waislamu wameahidiwa mito inayotiririka pombe,na kuingiliana kimwili, huku wanaume wakiahidiwa kupewa mabinti bikira 60 na nguvu za kiume x100. Nadhani hicho ndicho kilichomvutia.Quran 47:15
 
Hayaa
images%20(73).jpg
 
Back
Top Bottom