Beki tatu wetu

Hata fikra yako bado ni nadharia,hata kama amedangaya haina madhara ya kuumiza yoyote,bali kufikirisha na kufanya muda uende

Unaemsikia anapeleka muda uende kwa uongo ujuwe maisha yake anayoishi ni uongo mtupu.
 
Mi na kukubali sana mkuu uyo bibi umefanya la maana sana kumpuuza.hao sindo walewale wa kijani wachumia tumbo yupo tayari kuikana dini yake kisa kijani
 

looo! (bold)
 
hahaha


woooooooozahhhhh

bibi nakuona unatoa mkong'oto...

ngoja niicheki hii mechi.

sibanduki.
 
We k. utakua na matatizo makubwa sana kwenye medula oblangata yako'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…