Beki 3 Wangu

kuna baba mmoja alikuwa jirani yetu, hajawahi kuacha kutembea na hg hata mmoja aliyewahi kuwa kwao, awe mzuri au mbaya. cha kushangaza ana mke bomba sana

kamwali za lihengu!
wangana wa lelu hawa na wasikana wa kazi mbona kazi!wengo !
 
sijajua mnashambulia Mkusa kwanini,amehisi kuna tatizo na ameonyesha nia ya kulitatua ,wengi huwa tunajikuta kwenye vishawishi vya aina hii na bado hatusemi tunabaki kimya mpaka hali inakuwa out of hand . Mkusa hebu ongea na wife tumia akili ya kiume lakini usimwambie kama unamtamani huyo binti tengeneza zengwe lolote huyo msichana aondoke hapo home!
 
Last edited by a moderator:

Hiyo red nimechekaje mie
 
kuna baba mmoja alikuwa jirani yetu, hajawahi kuacha kutembea na hg hata mmoja aliyewahi kuwa kwao, awe mzuri au mbaya. cha kushangaza ana mke bomba sana
mukulu hii inatufundisha kwamba bazazi ni bazazi tu na aache tamaa basi na visingizio vya kibwege.
 

FP umenikumbusha hasira yangu ya zamani hiyo blue hiyo agggrrrrrrrrrrr yaani alikuwa anasuka hata leo kesho jioni ukirudi unakuta anafumua unauliza kulikoni??? Eti aaahhh zimeanza kuniwasha unashangaa siku moja??? Hiyo red FP acha kabisa namaliza nazo hata mwezi kama nimesuka rasta halafu aaaaaaaggggggggggrrrrrrrrrrrr
 
Kiukweli suala la kumatamani HG kama ni mzuri halizuiliki kwa mwanaume yeyote RIJALI... Kinachozuilika ni kuchukua next step za kumuaproach.. Ila kutamani tu ni natural kwa mwanaume (na wanawake pia)...
 

Acha ubainifu... unakaa na minywele hadi inanuka!!!
 

Mkuu wala ucipate shida ya kufikiria zengwe la kutengeneza.. Asubuhi ukishavaa kabla ya kwenda kazini muume sikio tu wife hapo.. Muambie beki tatu anapendeza na kutia hamu.. Kisha nenda zako kazini.. Ninakuhakikishia utakaporudi jioni hutommkuta ndani huyo beki tatu..! Chezea wife wewe anaelinda huzband wake..
 
tamaa zako tu hizo, huna lolote. na ukimfanyia zengwe aondoke akija mwingine mrembo jee utamtafutia zengwe jingine. kazini kwenu hakuna wanawake warembo unaowatamani, unaishije nao? mwanao akimtambulisha gf wake mrembo utamtamani pia nk ....... kuwa serious if you can't train your mind basi vaa boxer za chuma zenye locki na mpe mkeo funguo. achana na dhana ya 'uanaume' ni kutamani kila mwanamke umwonaye, huo ni ulimbukeni na tamaa tuu
 

Ana umri gani huyo msaidizi wa kazi nyumbani?

Naskitika kwamba haumheshimu (Ref. neno BEKI 3) ndo maana una mtamani kila siku.
Anyway,unaweza kua unasali na kufunga kumbe una tafuta tu sababu ya kumsingizia shetani
atakapo "kupitia".

Am sure huyo dada ni mtoto mdogo sana,hilo ni kosa kwa kuajili watoto ambao wanatakiwa
wawe shuleni.

Next time,ajiri msaidizi wa nyumbani mwenye umri mkubwa,say 30,...na kuendelea.
 
yeye si alikuwa anajua nikisema kusuka tu napata hela. siku aliyoniudhi sana alisuka uzi, ndogo kabisa. alitokea mwenyewe. hapo kalipa 20,000. nikajua hiyo ngoma labda 2 months.
siku ya pili kafumua, vipi? anajibu kwa vizuri tu, zimenibore, sijui ndo alienda kwa bf akamwambia azifumue...................
 
Ndo maana nafunga na kuomba na ikibid natengeneza Zengwe arud kwao

Unafunga na kuomba,STILL unataka umfanyie ZENGWE ili arudi kwao?

Nielewavyo mimi,hilo ZENGWE ni kama kumsingizia kosa hivi.
Kwa IMANI yako hiyo inayo kufanya UFUNGE NA KUSALI huoni utatenda
dhambi kwa kumuumiza mtoto wa watu utakapo MPA kosa ambalo HAJAFANYA?

We dini gani kwanza???
 

Asante sana.
 
Fanya utani tu, kuna siku utatamani binti yako uliemzaa. Shetani hachekewi.
 
Ndo maana nafunga na kuomba na ikibid natengeneza Zengwe arud kwao
Kutengeneza zengwe ni dhambi maana hilo zengwe lazima lihusishe UONGO! Yaani unafunga kukwepa uzinzi ila kama ikishindikana UNASHUHUDIA UONGO ili kuepuka dhambi? Hivi Dini gani hiyo inayofundisha kutenda dhambi moja ili kuepuka dhambi nyingine? Mi nakuambia LIVE, hapo hata hayo maombi yako hayavuki mawingu, unapoteza muda bure. Heri umtafune binti wa watu ijulikane una dhambi ya uzinzi kuliko umkejeli Mungu na vimaombi vyako visivyokuwa na dhamira ya dhati halafu ukaishia kumshuhudia mambo ya UONGO binti wa watu! Too low for a committed worshipper!
 


FP acha kabisa mie nilishangaa na kukasirika siku ile amesuka nywele za kimasai siku tatu kakaa nazo siku mbili akafumua kha?? Nilishangaa na kushangaa acha tu....................
 

Hujastukia tu kuwa huyo ni mumeo na atakae tupiwa virago ni wewe?
 
FP acha kabisa mie nilishangaa na kukasirika siku ile amesuka nywele za kimasai siku tatu kakaa nazo siku mbili akafumua kha?? Nilishangaa na kushangaa acha tu....................
kama bado unampa hela ya kusuka, jiandae kuendelea kushangaa. mimi nimefanyiwa mara kwa mara, mpaka nikasema sasa basi, nikamwingizia kenye mshahara. akaona hainogi tena, akaamua kukata kabisa nywele, halafu anawaambia wenzake hawezi kuchezea hela yake kwa ajili ya nywele........................ hela yangu ndo ilikuwa ya mchezo, lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…