*Beijing Olympics 2008*

awesome,spectacular,breathtaking,the chinese have delivered an opening ceremony of biblical propotions
 
burundi are in traditional dress kwakweli wamenivutia sana, sasa ngoja nisubiri kuona watz sijui watavaa nini zaidi ya suti
 
Sisi tumelaaniwa... mpaka sasa hatuna vazi la Taifa... ati na hilo linahitaji rocket sayansi na mfadhili, na washa, kongamano... na per diem na shamba darasa ...
 
Sisi tumelaaniwa... mpaka sasa hatuna vazi la Taifa... ati na hilo linahitaji rocket sayansi na mfadhili, na washa, kongamano... na per diem na shamba darasa ...

kwi kwi kwi................... umesahau kuundwa kwa kamati na kupewa najiti yake kwa ajili ya kutafuta vazi hilo bila kusahau kuagiza mtaalamu toka nje ya mchi kwa mkataba wa miaka mi3
 
Nah...matatizo yetu ni zaidi ya uongozi mbaya na siasa mbovu. Kule Afrika Kusini makaburu walikuwa na uongozi mbaya na siasa mbovu lakini waliweza kuijenga Afrika Kusini. Na kwa nini katika karibu kila nchi ya Afrika kusini mwa jangwa la sahara kila nchi iwe na uongozi mbaya na siasa mbovu? Hii siyo accident.....kuna kitu hapo maana hata nchi zenye maliasili kibao kama Nigeria na Angola na zenyewe ziko hohehahe tu.....

Kwa makaburu walikuwa na viongozi bora na siasa safi hata kama hazikufaa kwa weusi.

Nchi za weusi tuna viongozi wabaya na siasa mbovu kwa watu wetu. Hapo kwenye msemo wa Nyerere natural resources ziko kwenye ardhi.
 
Kwa makaburu walikuwa na viongozi bora na siasa safi hata kama hazikufaa kwa weusi.

Nchi za weusi tuna viongozi wabaya na siasa mbovu kwa watu wetu. Hapo kwenye msemo wa Nyerere natural resources ziko kwenye ardhi.

Viongozi hawawezi kuwa bora na siasa zao kuwa safi kama haziwafai na haziwatendei haki raia wanaoongozwa.
 
kwi kwi kwi................... umesahau kuundwa kwa kamati na kupewa najiti yake kwa ajili ya kutafuta vazi hilo bila kusahau kuagiza mtaalamu toka nje ya mchi kwa mkataba wa miaka mi3

Ndio mkuu nilisahau, tunamtafuta mtaalamu mshauri, kufanya upembuzi yakinifu... mchakato wa kumtafuta mfadhili na m-bia na baaada ya hapo tutafanya semina elekezi, kisha tutafanya ufunguzi na kumkaribisha mh. Rais... na baada ya hapo ... jamani inabidi kujipongeza kwa kasherehe baada ya ufunguzi pale paradise hotel bagamoyo... nimesahau... tunafanya capacity building.

Bajeti nadhani ya mwaka huu haitatosha tusubiri kutengewa bajetu nzuri mwaka kesho ya angalau bil.3 hivil...

Mh. Spika naoma kutoa hoja.


Hoja imeungwa mkono sasa nawahoji... wanaosema ndio waseme ndio... wachangiaji ndiyooooooooooooooooooooooo...

Wanasema hapana... hamna...

Hoja imepitishwa.
 
weweeeeeeeeee... here comes tanzanians with track za kijani na t-shirt za njano....... si mbaya sana. sasa subiri usikie bei ya kutengenezea nguo hizo
 
TANZANIA,aibu wameshindwa hata kuwacloth vijana,anyway as a true patriot,i stood up and saluted these sons and daughters of the motherland
 
Ndio mkuu nilisahau, tunamtafuta mtaalamu mshauri, kufanya upembuzi yakinifu... mchakato wa kumtafuta mfadhili na m-bia na baaada ya hapo tutafanya semina elekezi, kisha tutafanya ufunguzi na kumkaribisha mh. Rais... na baada ya hapo ... jamani inabidi kujipongeza kwa kasherehe baada ya ufunguzi pale paradise hotel bagamoyo... nimesahau... tunafanya capacity building.

Bajeti nadhani ya mwaka huu haitatosha tusubiri kutengewa bajetu nzuri mwaka kesho ya angalau bil.3 hivil...

Mh. Spika naoma kutoa hoja.


Hoja imeungwa mkono sasa nawahoji... wanaosema ndio waseme ndio... wachangiaji ndiyooooooooooooooooooooooo...

Wanasema hapana... hamna...

Hoja imepitishwa.


LOL.....!!!!!! you have made my day man...... aaaaaaaaa... nimecheka sana
 
weweeeeeeeeee... here comes tanzanians with track za kijani na t-shirt za njano....... si mbaya sana. sasa subiri usikie bei ya kutengenezea nguo hizo

Hapana tutaitisha sherehe ya kuwashukuru serikali ya China kwa kutupatia nguo hizo... cost ya sherehe itakuwa 1000 times cost ya hizo nguo...


Nakuhakikishia hizo rangi sio representation ya wanamichezo wa Tanzania... Yangi yetu ni ya Bluu...
 
wait a minute...... rangi ya njano na kijani....uhm.... politics zimo humo tayari... rangi za CCM
 
wait a minute...... rangi ya njano na kijani....uhm.... politics zimo humo tayari... rangi za CCM

Hapana ndio zimepatikana haraka pale Beijin... na Balozi akasema tukichelewa kuchukua za Msaada mpaka bajeti ije shauri yenu...mtaingia na vikoi wengine kana... mtakuwa kama chotara.
 
Hapana tutaitisha sherehe ya kuwashukuru serikali ya China kwa kutupatia nguo hizo... cost ya sherehe itakuwa 1000 times cost ya hizo nguo...


Nakuhakikishia hizo rangi sio representation ya wanamichezo wa Tanzania... Yangi yetu ni ya Bluu...

hii nchi bwana yani basi yani... na ndio maana utaona watz wengi sana maisha yao ,muda wao na pesa zao wana zipotezea baa.... hii ni kukata tamaa ya maisha
 
Hapana ndio zimepatikana haraka pale Beijin... na Balozi akasema tukichelewa kuchukua za Msaada mpaka bajeti ije shauri yenu...mtaingia na vikoi wengine kana... mtakuwa kama chotara.

Bwa we Kasheshe hebu nipumzishe kwanza na kucheka bana......meeeeeeeeeeeeeeeen...... Bush in the haus kwenye openings za olimpics, where is Jakaya
 
olyTanzania2.jpg


Team Tanzania na washangiliaji wake hapa chini:
olyTanzania.jpg



Bush ndani ya uwanja!! :)
olyBush.jpg
 
wait a minute...... rangi ya njano na kijani....uhm.... politics zimo humo tayari... rangi za CCM

Kwi kwi kwi...

Sasa mheshimiwa kwa kuwa timu yetu ilivaaa rangi za kama chama cha siasa ... namaaniasha chama tawala yaani CCM... pamoja na kwamba ziko kwenye bendera ya taifa...

Nakuomba Bunge letu tukufu liridhie kuunda tume huru... maalumu ya Bunge kuchunguza hawa viongozi waliofanya hivyoo.... na kila kitu kiwe wazi... na ikiwezekana wafutiwe uraia.

Bajeti ya tume hiyo napendekeza iwee... mil. 200... Mh. spika hizi hela ni nyingi lakini ni lazima haki itendeke... Mh... Naomba kutoa hoja... makofi kutoka kwa Upande wa Upinzani... pwa pwa pwa... Sauti ya Kuguna... kutoka upande wa Chama Tawala...

Tume inaundwa....



(....Tumelaaniwa... we do question everything)
 
Nisemapo nchi imetekwa na mafisadi mnaona naongea upepo ,imehusu nini kuvaa mavazi ya Chama kwenye sherehe zinazoshirikisha Taifa ,sijui wanamfanyia nani kampeni ,hivi hawaoni Nchi nyengine kama wanavaa watakavyo lakini sio rangi za chama tawala ,yaani mafundi cherahani wa Tanzania hawana uwezo wa kutengeneza vazi la kimichezo ambalo litashirikisha rangi zote za bendera ya Jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
buluu nyeusi kijani manjano ,mnaenda kuingia na maguo ya manjano na masuluali vipande kama mataahila.
 
Mnaona je turudishe timu yetu tu!!! mimi naona sherehe za ufunguzi zinatosha... tumeshaoona mengi au mnajasemani washikaji?

--Kwanza kule china tumeona wenzetu wanapocheza muziki wanachezesha mikono zaidi kuliko sisi tunachezesha viuno na w*w*.
 
Back
Top Bottom