BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
SteveD, hii ya kupigiwa nyimbo ya Taifa na kuona bendera ya Taifa lenu inapandishwa katika closing ceremony ilinigusa sana. Maana washiriki wote na officials wote wa IOC na host country walikuwepo pale. Hongera sana bingwa wa marathon katika 2008 Olympic kwa kuweka rekodi mpya ya Olympic iliyodumu kwa miaka 24.