Mkuu kama unataka mashine imara wasiliana na workshop ya SIDO moshi. wanatengeneza mashine nzuri na imara sana. Bei yake ni kati ya TSHS. 2.3-2.5M kwa mashine ya kusaga number 75 na kukoboa roller 3.Zote zinafungwa Motor za 25Hp na unapewa na Starter pia. very good machine and durable, i have one set of the same. Achana na mashine za laki 900,000, capacity yake ni ndogo sana hivyo hutumia umeme mwingi.
Hiyo ni bei pamoja na motor, au unatakiwa ununue motor?Kama utahitaji kufunga motor unatakiwa motor yenye ukubwa gani (in terms of range from lowest to highest in hp)Mkuu kama unataka mashine imara wasiliana na workshop ya SIDO moshi. wanatengeneza mashine nzuri na imara sana. Bei yake ni kati ya TSHS. 2.3-2.5M kwa mashine ya kusaga number 75 na kukoboa roller 3.Zote zinafungwa Motor za 25Hp na unapewa na Starter pia. very good machine and durable, i have one set of the same. Achana na mashine za laki 900,000, capacity yake ni ndogo sana hivyo hutumia umeme mwingi.
Mkuu kama unataka mashine imara wasiliana na workshop ya SIDO moshi. wanatengeneza mashine nzuri na imara sana. Bei yake ni kati ya TSHS. 2.3-2.5M kwa mashine ya kusaga number 75 na kukoboa roller 3.Zote zinafungwa Motor za 25Hp na unapewa na Starter pia. very good machine and durable, i have one set of the same. Achana na mashine za laki 900,000, capacity yake ni ndogo sana hivyo hutumia umeme mwingi.
Asante sana kwa taarifa hii mkuu
beikinu cha kusaga no.100 ni 1,5milioni , base yake 250,000/= stand/ frame. mota 40hp 1.2millioni, stata ni laki 5, kinu cha kukoboa rola 3 ni 1.2milioni, base/ stand 250,000/= stata laki 5, , mota 1.2milioni, waya mnene laki 1 total cost ni kama 6,700,000/= HIYO NI UHAKIKA NILIFANYA FEASIBILITY STUDY MWENYEWE KRBU KWA USHAURI WA BURE ULIZA CHOCHOTE KILE KUHUSU MACHINES UPATIKANAJE WA MAHINDI KAMA UPO DAR NA AINA ZA MAHINDI YANAYOFAA
Naomba kujua matumizi yake ya umeme tafadhali
Chachandumbaya Habari!! Mi nna swali kwa maeneo ya makazi inafaa kuweka mradi wa kusaga na kukobo maana nataka kufanya mradi huu ila pesa ya kukodi eneo sina maana mtaji wangu mdogo na ndo nataka kuanza biashara,mzee wangu kanipa eneo home fremu na vyumba 2 ila ni makazi ya watu.Je itaruhusiwa kisheria???beikinu cha kusaga no.100 ni 1,5milioni , base yake 250,000/= stand/ frame. mota 40hp 1.2millioni, stata ni laki 5, kinu cha kukoboa rola 3 ni 1.2milioni, base/ stand 250,000/= stata laki 5, , mota 1.2milioni, waya mnene laki 1 total cost ni kama 6,700,000/= HIYO NI UHAKIKA NILIFANYA FEASIBILITY STUDY MWENYEWE KRBU KWA USHAURI WA BURE ULIZA CHOCHOTE KILE KUHUSU MACHINES UPATIKANAJE WA MAHINDI KAMA UPO DAR NA AINA ZA MAHINDI YANAYOFAA
Chachandumbaya Habari!! Mi nna swali kwa maeneo ya makazi inafaa kuweka mradi wa kusaga na kukobo maana nataka kufanya mradi huu ila pesa ya kukodi eneo sina maana mtaji wangu mdogo na ndo nataka kuanza biashara,mzee wangu kanipa eneo home fremu na vyumba 2 ila ni makazi ya watu.Je itaruhusiwa kisheria???