Asante sana kwa ushirikiano!! Je,upo katika biashara hii ya kusaga sembe??Mkuu kisheria (nahisi) unatakiwa uwaone ofisi ya ardhi wilaya ili kubadilisha kiwanja chenu kiwe na hadhi ya biashara na makazi! lakini pia kama shughuli zitakazokuwa zinaendelea hapo kama ni kubwa sana basi inabidi uwe makini usije ukawaudhi majirani na kaunza kukupinga vita!