EWURA yatangaza bei mpya za mafuta. Bei ya petroli imeshuka kwa Sh 102 kwa lita, dizeli ikishuka kwa Sh 101 kwa lita

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta. Bei ya petroli imeshuka kwa Sh 102 kwa lita, dizeli ikishuka kwa Sh 101 kwa lita

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,963
Reaction score
6,693
Katika kutekeleza majukumu kwa mujibu wa Sheria, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kufuatilia mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia ambapo bei hizo zimekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kutokana na vita inayoendelea eneo la Mashariki ya Kati.

Katika mwezi Septemba 2026, bei za mafuta nchini zimeshuka kwa Shilingi 102 kwa lita ya petroli na Shilingi 101 kwa lita ya dizeli. Hii ni kutokana na hatua mbalimbali ambazo Selikali imezichukua ili kuwa na bei himilivu za mafuta hapa nchini.E

WURA inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 02 Septemba 2026 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Septemba 2026, bei za rejareja na jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia.

Soma Pia: EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

Screenshot 2026-09-02 014949.png
Screenshot 2026-09-02 015006.png
 
Katika kutekeleza majukumu kwa mujibu wa Sheria, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kufuatilia mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia ambapo bei hizo zimekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kutokana na vita inayoendelea eneo la Mashariki ya Kati.

Katika mwezi Septemba 2026, bei za mafuta nchini zimeshuka kwa Shilingi 102 kwa lita ya petroli na Shilingi 101 kwa lita ya dizeli. Hii ni kutokana na hatua mbalimbali ambazo Selikali imezichukua ili kuwa na bei himilivu za mafuta hapa nchini.E

WURA inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 02 Septemba 2026 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Septemba 2026, bei za rejareja na jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia.

Soma Pia: EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

Kushusha bei mbona weooo kobe? Ila Kupandisha Kassongo mwendo wa ngiri.
 
Dhana ya "Watanzania ni wepesi kuzoea" ndio naiona inawapa ujeuri wa kupandisha bei za bidhaa.

Wanajua tu kuwa mwanzoni watakabiliwa na pressure kubwa kutoka kwa wananchi lakini wakiwa na misimamo kwa wiki kadhaa.

Watanzania wataanza kuizoea hiyo hali na kuichukulia kama ndio utaratibu wa siku zote.

Kuanzia hapo hata kama kuna sababu nyingi za kupunguza bei au kuirejesha bei ya awali.

Huwa inawawia ugumu ku reverse bei kwasababu kwanza itaenda kupunguza faida kwao na pili watanzania tayari washamuachia Mungu hawapo tena kwenye huo mjadala.
 
Huwa inawawia ugumu ku reverse bei kwasababu kwanza itaenda kupunguza faida kwao na pili watanzania tayari washamuachia Mungu hawapo tena kwenye huo mjadala.
Hii iko Sawa kabisa, kwa mfanya biashara kupunguza bei ambayo tayari Watumiaji wameshazoea huku anapiga faida sio rahisi
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za bidhaa za mafuta kwa mwezi Septemba 2026. Bei ya petroli imeshuka kwa Shilingi 102 kwa lita, huku bei ya dizeli ikishuka kwa Shilingi 101 kwa lita. Bei hizo zitaanza kutumika kuanzia tarehe 2 Septemba 2026, saa 6:01 usiku.

EWURA inaendelea kufuatilia kwa karibu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia, ambapo mabadiliko ya bei yanaendelea kuathiriwa pamoja na mambo mengine na hali ya kiusalama katika eneo la Mashariki ya Kati.

Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya Mwaka 2015, bei za mafuta zinaendelea kupangwa kwa kuzingatia mfumo wa soko. Wafanyabiashara wote wa rejareja wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zisizozidi bei elekezi, na wananchi wanashauriwa kutoa taarifa EWURA kwa kituo chochote cha mafuta kitakachouza zaidi ya bei elekezi.
IMG-20260902-WA0013.jpg
 
Katika kutekeleza majukumu kwa mujibu wa Sheria, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kufuatilia mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia ambapo bei hizo zimekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara kutokana na vita inayoendelea eneo la Mashariki ya Kati.

Katika mwezi Septemba 2026, bei za mafuta nchini zimeshuka kwa Shilingi 102 kwa lita ya petroli na Shilingi 101 kwa lita ya dizeli. Hii ni kutokana na hatua mbalimbali ambazo Selikali imezichukua ili kuwa na bei himilivu za mafuta hapa nchini.E

WURA inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 02 Septemba 2026 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Septemba 2026, bei za rejareja na jumla katika Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia.

Soma Pia: EWURA yashusha Bei za Mafuta : Petroli Imeshuka Tsh 92, Dizeli Tsh 204 na Mafuta ya Taa Tsh 440

Je, meli zimeanza kupita Hormuzi au wamefanya juhudi ya kuyanunua sehemu au wamepunguza kodi? Hayo ndiyo maneno, yashuke zaidi na zaidi!
 
Alafu mfumo wao wa manunuzi si in Bulk ( jumuishi ) kwa hiyo wananunuq bei ndogo lkn huku wanatuona sisi zumbukuku. Hii nchi hii unatamani ungrateful meno.
 
Back
Top Bottom