Bei ya Vifurushi itamuondoa mtu next week..

2731046_Screenshot_20210402-212724.png
 
Nafahamu kwamba huu mchakato wa kupandisha gharama za vifurushi ulianza tangia zamani, nafahamu pia moja ya mbinu za kisiasa ni kutengeneza tatizo na kulitatua mwenyewe hata kama ulikuwepo kwenye jopo la waliofanya maamuzi kufikia kupatikana kwa tatizo hilo.

Serikali ina kiongozi mpya ambaye pamoja na yote lazima aonyeshe amesimama upande wa watu wengi wanaolalamika kwa upandaji holela wa vifurushi ambao sio tuu utainyima serikali mapato bali utarudisha watu nyuma kutoka katika matumizi ya TEHAMA , kwa maana nyingine atajitenga na maamuzi ya kupandisha vifurushi.

Hivyo natabiri kuwa kuna vichwa vinaenda kuliwa pale TCRA na Wizara ya mawasiliano, maboss wote wanaohusika na haya maamuzi wajiandae, hii pasaka itakuwa pasaka yao ya mwisho kama maboss au viongozi wa sehemu husika..

Kama ni wajanja wachukue hatua za mapema sana kuonyesha wamesimama upande wa watu ili waokoe nafasi zao za kisiasa, kwani atakayeliwa kichwa hapa ndio atakuwa amekufa kisiasa na kiutumishi.

Eng. James Kilaba ajitafakari sana maana bado anatekeleza maelekezo ya Mzee MEKO.
 
Tcra ya kuvunja yote wale wazee wa miaka ya 70's watoke kizazi kipya kichukue hatam..
 
😂😂😂Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe oooh mara sijui mazungumzo mezani tupange tujadiliane kwanza.
Huu ubishi wa haya makampuni usingekuwepo
Yule jamaa alikua hataki utani utani

Wameambiwa warudishe vifurushi kama ilivyokua mwanzo mpk saiv bado yani,wanatunyonyaa kwanza,wanabahati sana mzee baba hayupo wangenyooka mpk saiv

Napenda sana kiongozi mwenye misimamo,sio wananchi wanalia kiongozi nae analia. Cjui tukimbilie wapi sasa
Hapo ndio tunamiss mzee yaani jiwe likitupwa SAA 5 asubuhi SAA 7mchana tushapata kelele mzee kwa hili kwakweli tutamkumbuka sana...huyu ndunguruuru labda walimkatia mshiko sio bure huwezi kukubali kitu cha kukandamiza wananchi kirahisi rahisi hivyo..
 
Wewe unadhani ni maamuzi ya hayo makampuni ndio yameamua hivyo?,Serikali yako kandamizi tena ya huyo marehemu unayemsifia sifia,lengo Lao mpunguze kuwakosoa mitandaoni,kodi ikiongezwa siku zote mtumiaji wa mwisho ndio anayeumia idiot..

Facts 100%
 
Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe oooh mara sijui mazungumzo mezani tupange tujadiliane kwanza.
Huu ubishi wa haya makampuni usingekuwepo
Yule jamaa alikua hataki utani utani

Wameambiwa warudishe vifurushi kama ilivyokua mwanzo mpk saiv bado yani,wanatunyonyaa kwanza,wanabahati sana mzee baba hayupo wangenyooka mpk saiv

Napenda sana kiongozi mwenye misimamo,sio wananchi wanalia kiongozi nae analia. Cjui tukimbilie wapi sasa
Hakuna lolote, ikumbukwe tangazo la mabadikiko ya virushi lilikuwa ni agizo la waziri mwenye dhamana, maanayake alipewa maagizo toka juu, na sababu kubwa nikuona watu hawatunii Social media, hilo lipo wazi, kitu ambacho mama hawezi kukubali ukandamizahi wa hivi maana hakuwa moja wa maamzi ya ukandamizaji huu, na sababu aliyosemwa na waziri ni kwamba, watu wanatumia WhatsApp kupigasimu njee ya nchi, hali inayoikosesha serikali mapato ndipo wakaja na mbadala kapunguza vifurushi. Na tunashukuru kwakuwa serikari ya sasa ni ya wanchi na nisikivu ufumbuzi wa hili utapatikana haraka, mama hoyee.
 
Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe

kudhibiti mitandao ya kijamii ni suala ambalo lilikuwa linamuumiza kichwa sana jpm kwasababu huku ndio ilikuwa platform pekee ambayo raia walikuwa wanampiga spana za kutosha, kumbuka jamaa alikuwa hapendi kupigwa spana.

kwa maana hiyo uamuzi huu wa kuongeza gharama katika vifurushi ungempa relief kubwa sana. nina hakika asingefanya chochote, sanasana angeipongeza wizara na tcra kwa idea hii.
 
mama yupo very active na mitandao ya kijamii hususani twitter.

hii iwe ni wake-up call kwa viongozi wote wasiopenda kukosolewa na wenye mentality ya kijinga ya kudhani kwamba mitandao ya kijamii ni adui wa maendeleo.
IMG_20210404_005627.jpg
 
😂😂😂Magu angekuwepo ungesikia mpk saiv hao ma Director wa haya makampuni wapo central kwa mahojiano.

Jamaa alikua hataki mbwembwe oooh mara sijui mazungumzo mezani tupange tujadiliane kwanza.
Huu ubishi wa haya makampuni usingekuwepo
Yule jamaa alikua hataki utani utani

Wameambiwa warudishe vifurushi kama ilivyokua mwanzo mpk saiv bado yani,wanatunyonyaa kwanza,wanabahati sana mzee baba hayupo wangenyooka mpk saiv

Napenda sana kiongozi mwenye misimamo,sio wananchi wanalia kiongozi nae analia. Cjui tukimbilie wapi sasa

Hakuna lolote haya mambo yalianzishwa na Ngosha mwenyewe ili waendelee kutupiga....

Yale yale wanachukua mkopo kisirisiri halaf wanaimba na kujimwambafy eti hela za ndani kwa miradi mikubwa..
Mazuzu tunashangilia....
 
www.freebasic.com
Hapo utapata
1.Jamii forum
2.BBC swahili
3.BBC world news
4. Wikipedia
Na vingine vingi for free (Totally free) kupitia Halotel.
Hapo nitakuwa naunga bando kwa issue maalum tu.

Ila pole kwa wanaotegemea internet kuingiza kipato.
Freebasic inasevu sana wakati mwngine inapita mwezi sijaweka bando la Internet lakini bado napata updates muhimu
 
Back
Top Bottom