Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,190
- 4,103
Hawa mafundi kuna wakati wanatia hasara sana, anaweza kukupigia makadirio ya vifaa vya kujenga, aidha kubwa sana au ndogo sana kulingana na uhalisia.
Unakuta umepigiwa gharama ya mifuko 50 ya simenti kumbe inatakiwa 80 tofauti kubwa kabisa na umejipigapiga umeanza ujenzi inaishia katikati mnasimama ujipange maana hukua umetarajia.
Au anakupigia nondo 15 kumbe zinatakiwa 7 unajikuta zinabaki unaanza kuuza kwa bei ya hasara, wengine mabati nk.
Umewahi kutiwa hasara gani na fundi wakati wa makadirio?
Unakuta umepigiwa gharama ya mifuko 50 ya simenti kumbe inatakiwa 80 tofauti kubwa kabisa na umejipigapiga umeanza ujenzi inaishia katikati mnasimama ujipange maana hukua umetarajia.
Au anakupigia nondo 15 kumbe zinatakiwa 7 unajikuta zinabaki unaanza kuuza kwa bei ya hasara, wengine mabati nk.
Umewahi kutiwa hasara gani na fundi wakati wa makadirio?