johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,597
- 141,413
Ikumbukwe kuwa mahindi yamevunwa juzikati tu sasa ikifika February 2020 sijui hali itakuwaje?
Serikali itoe ruzuku kwa wakulima wa mahindi ili kuwasaidia na kumpa nafuu mwananchi wa kawaida.
Watanzania Ugali ndio mkate wetu wa kila siku
Maendeleo hayana vyama!