kampala bajaji bei inaanza kwa 3.9M hadi 5M
Tv inategemea na aina pia na saizi kwa led bei inaanzia 500,000/=
21nc
🤣 🤣 🤣 🤣 mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibuHabari zenu mabibi na mabwana wa hapa jukwaa la Uganda,Napenda kujua gharama ya kununua tvs bajaj kwa uganda ni kiasi gani ?
Wewe ndo hujaelewa, Kuna bajaji Aina ya TVS, siyo television (TV), ni TVS BAJAJ.mdau nadhani ulimaanisha pikipiki ya magurudumu matatu hapo kwenye kichwa cha habari. Bajaj na TVS ni kampuni 2 tofauti. Ila umeeleweka mdau. Walioko Uganda watakujibu