Habarini wadau.
Sijui kama ni jukwaa sahihi au la, m
Naombeni kufahamu aina tofauti za rangi zinazopakwa kwenye mabati ya nyumba na bid zake na kwa nyumba iliyotumia mabati 100 kupaua itatumia kiasi gani cha rangi?
NA KAMA FUNDI YUPO NIJUE. LOCATION NI KIBOSHO ROAD MOSHI.
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama ni jukwaa sahihi au la, m
Naombeni kufahamu aina tofauti za rangi zinazopakwa kwenye mabati ya nyumba na bid zake na kwa nyumba iliyotumia mabati 100 kupaua itatumia kiasi gani cha rangi?
NA KAMA FUNDI YUPO NIJUE. LOCATION NI KIBOSHO ROAD MOSHI.
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app