Isaya ezekiel
Member
- Aug 2, 2013
- 6
- 3
Habari zenu wana JF, Mimi nauliza bei ya mbegu za zao mchikichi ni shingapi?
Hivi unaijua hata michikichi kweli, maana inaonekana unadhani labda ni kama mchicha Fulani hivi unauzwa dukaniDuh! Sio poa kwa kweli,,,
Ila kuna wakat mtu unajiuliza,,
Huyu mtu huko anakoishi hakuna maduka ya mbegu???
Unaona uskip na kuendelea na ratiba zako