Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

Dec 31, 2018
95
53
Wakuu Habari?

Katika Harakati za Kuongeza kipato Huu ni mwaka wa pili sasa Nimeingia kwenye kilimo Cha mahindi huku Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.

Lakini Kuna Jambo Naliona Zao hili lina Ukiritimba mwingi hasa kwenye Bei Nafikiri ndo maana Wakulima wengi wa Mahindi ni masikini Maan unalima Uhakika wa bei Uko Gizani. Kwa wajuzi na wafuatiliaji Je mwaka huu Bei ya Mahindi Itakuwaje!?

Je, Wanaosema itapanda kisa uchaguzi Kuna uhakika? Naomba tafadhali Mwenye uzoefu Atuibie Taarifa za mwelekeo wa Hili zao

Je, Bei inaweza kuwa kiasi gani kwa Kg?

Nawasilisha
 
Miaka hii miwili mfululuzo bei ya mahindi inaporomoka kila siku asee
 
Mimi ni mkulima Mdogo wa mahindi nipo Tanga tumelima mahindi ya vuli mpaka Sasa watu wanapalilia mahindi ya mwaka gunia la mahindi ni elfu 40 ina maana watu wakivuna yataendelea kushuka
Nimelima ekari moja tu ya mahindi ya kula eneo lililobaki nimejilipua na maharage
 
Wakuu Habari?

Katika Harakati za Kuongeza kipato Huu ni mwaka wa pili sasa Nimeingia kwenye kilimo Cha mahindi huku Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.

Lakini Kuna Jambo Naliona Zao hili lina Ukiritimba mwingi hasa kwenye Bei Nafikiri ndo maana Wakulima wengi wa Mahindi ni masikini Maan unalima Uhakika wa bei Uko Gizani. Kwa wajuzi na wafuatiliaji Je mwaka huu Bei ya Mahindi Itakuwaje!?

Je, Wanaosema itapanda kisa uchaguzi Kuna uhakika? Naomba tafadhali Mwenye uzoefu Atuibie Taarifa za mwelekeo wa Hili zao

Je, Bei inaweza kuwa kiasi gani kwa Kg?

Nawasilisha
Bei huamuliwa na soko bwana mdogo
 
Eka
Mimi ni mkulima Mdogo wa mahindi nipo Tanga tumelima mahindi ya vuli mpaka Sasa watu wanapalilia mahindi ya mwaka gunia la mahindi ni elfu 40 ina maana watu wakivuna yataendelea kushuka
Nimelima ekari moja tu ya mahindi ya kula eneo lililobaki nimejilipua na maharage
Ekari moja na wajiita mkulima? Not serious!
 
Wakuu Habari?

Katika Harakati za Kuongeza kipato Huu ni mwaka wa pili sasa Nimeingia kwenye kilimo Cha mahindi huku Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.

Lakini Kuna Jambo Naliona Zao hili lina Ukiritimba mwingi hasa kwenye Bei Nafikiri ndo maana Wakulima wengi wa Mahindi ni masikini Maan unalima Uhakika wa bei Uko Gizani. Kwa wajuzi na wafuatiliaji Je mwaka huu Bei ya Mahindi Itakuwaje!?

Je, Wanaosema itapanda kisa uchaguzi Kuna uhakika? Naomba tafadhali Mwenye uzoefu Atuibie Taarifa za mwelekeo wa Hili zao

Je, Bei inaweza kuwa kiasi gani kwa Kg?

Nawasilisha
kwasabb ya chakula kuhitajika sana kwa majirani zetu kwasabb mbalimbali mathalani mafuriko, vita au ukame, kwa mfano,
Malawi, Burundi, south Sudan, somalia n.k ni dhahiri bei ya mahindi itakua nzuri unless vyombo flani flani vitatize hiyo hali 🐒
 
kwasabb ya chakula kuhitajika sana kwa majirani zetu kwasabb mbalimbali mathalani mafuriko, vita au ukame, kwa mfano,
Malawi, Burundi, south Sudan, somalia n.k ni dhahiri bei ya mahindi itakua nzuri unless vyombo flani flani vitatize hiyo hali 🐒
Kwa kuwa wewe una-access na mamlaka utusaidie, hii bei ya Mahindi ipande
 
Kwanini mkuu
Mkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii
1. kwanza uandaa shamba
2.Ulime jembe la kwanza
3. Jembe la pili la kupandia
4. Bei ya mbegu bei iko juu.
5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake
6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa
7. Unaanza palizi la kwanza na la pili.
8. Unavuna, unaanza kuweka kwenye magunia.
ANAKUJA DALALI ANATAKA MAHINDI KWA 30,000 AU 40,000 KWA GUNIA

CC Tlaatlaah
 
Mkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii
1. kwanza uandaa shamba
2.Ulime jembe la kwanza
3. Jembe la pili la kupandia
4. Bei ya mbegu bei iko juu.
5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake
6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa
7. Unaanza palizi la kwanza na la pili.
8. Unavuna, unaanza kuweka kwenye magunia.
ANAKUJA DALALI ANATAKA MAHINDI KWA 30,000 AU 40,000 KWA GUNIA

CC Tlaatlaah
INAUMIZA SANA...
 
Mimi ni mkulima Mdogo wa mahindi nipo Tanga tumelima mahindi ya vuli mpaka Sasa watu wanapalilia mahindi ya mwaka gunia la mahindi ni elfu 40 ina maana watu wakivuna yataendelea kushuka
Nimelima ekari moja tu ya mahindi ya kula eneo lililobaki nimejilipua na maharage
Mkuu uko Tanga maeneo gani? mm nalima Kabuku
 
Back
Top Bottom