Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,272
Kwahiyo hata viza inategemeana unakwenda jimbo gan?au
Hapana, visa haitegemei na Jimbo unalokwenda!.
Kwahiyo hata viza inategemeana unakwenda jimbo gan?au
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya visa
Kwenda marekani ni milioni 10 kwa nauli ya kwenda na kurudi... Kwa vile we ni rafiki yangu nitakufanyia millioni 8
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya visa
Mtu kauliza nyie mnaleta salam zenu hapa! Nyie wawap nyie?
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::A S thumbs_up::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Bei inategemea na Jimbo unalokwenda, shirika la ndege unalotumia, pia ni majira gani ya mwaka unayotaka kusafiri. Bei ya visa pia inategemea, visa ya utalii, ya ukazi wa kudumu, au ile ya kuingia na kutoka- na kuingia tena(Multiple Entry Visa)!. Kazi kwako Mheshimiwa.
Kwenda marekani ni milioni 10 kwa nauli ya kwenda na kurudi... Kwa vile we ni rafiki yangu nitakufanyia millioni 8
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya
visa
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya visa
Kwa shirika la ndege kama turkish airline,andaa kitu kama dola za kimarekani 3200 kwenda na kurudi.
Jamani eti ni bei gani kwenda marekani na kurudi bongo na bei ya visa
Kwenda marekani ni milioni 10 kwa nauli ya kwenda na kurudi... Kwa vile we ni rafiki yangu nitakufanyia millioni 8