Jimbo ni Tennessee ni multiple entry visa
Kwenda marekani ni milioni 10 kwa nauli ya kwenda na kurudi... Kwa vile we ni rafiki yangu nitakufanyia millioni 8
Hahaaa... Yaani wewe...Hiyo route yako ilikuwa kiboko. Ukitaka kwenda tena nistue, nikupaishe na ungo wangu!.:smiling:Basi imeshuka......mara ya mwisho kwenda mimi ilikuwa mil 12......visa mil 3.......na nilitokea Dar-Mongolia-Alaska........nikarudi kupitia Chile.......