nini kimekuchekesha?
kama unajua bei yake basi niambie maana huku nilipo hakuna maduka ya uhakika ya hivyo vifaa
wakuu nauliza bei ya screen ya Acer, inch 11.6, ni sh. ngapi original?...
na je kuna muuzaji aliye Mbeya au Mwanza humu?
wakuu nauliza bei ya screen ya Acer, inch 11.6, ni sh. ngapi original?...
na je kuna muuzaji aliye Mbeya au Mwanza humu?
nimeisha jibu mkuu.. nipo safarin halaf net inazingua ndio maana nachelewa kujib
Mi ninibadili cha DELL kwa USD 190 pale simply computers huku Dar
Kakwambia anakuuzia kama spare so ni juu yako ukitoe kioo uweke kwako au utoe vibonyezo kwenye laptop yako uhamishie kwenye laptop atakayokuuzia.sasa mkuu hapo si ntaingia tena gharama ya kurekebisa hizo keys ..
mmh mbona hiyo dola 190 ni zaidi ya laki 4, akiiongeza kidogo hapo si atapata computa nyingine