Bei ya Cement yapanda

Mbona Unatuchanganyia habar mkuu
 
Imagine VP ni mchumi, FM(Finance minister) ni mchumi, wameshindwa hata kumshauri huyo nanihii kweli?

Hii maana yake ni kuwa, hata kodi ya pango(biashara na makazi) zitaongezeka. Hawaoni namna wanavyoumiza raia wao?
 
"Kumbe ni buku tu"..?

Wanaochukua mzigo kubwa ndio wanaojua ukibwa wa hiyo buku.

Chukua hiyo buku, halafu fanya kama unanunua mifuko 200 au zaidi.

Kwenye shughuli za ujezi hata Tsh 500 ni kubwa sana, labda kama unajenga kaburi.
Halafu hiyo mifuko inapelekwa mbali
 
Upuuzi wa hali ya juu wanshindwa kukusanya kodi huko wanakuja kumtwika mzigo mwananchi

Hakuna kitu sipendi kama bidhaa za ujenzi kuongezewa tozo au kodi

Hapo tutegemee pia bei za tofali kupanda
Serikali ina uwezo wa kukusanya kodi ila tatizo ni Siasa na wanasiasa.

TRA walitangaza mwaka huu kuwa kuanzia mwezi March Machinga wote na biashara zote zilizo Kariakoo lazima ziwe na EFD, kwenye utekelezaji

Siasa zikaingilia,CCM wakaiagiza Serikali isitishe, Rais S.Hasani akaagiza MoFin wafute ikafutwa.

TRA wanasema walipakodi Tz ni milioni 4 pekee kati ya Milioni 20 wenye uwezo wa kulipa.
Na kati ya hao wenye TIN ni 1.6mil tu, sasa angalia huo mzigo hapo.
Imebidi sasa wawekeze nguvu katika kila mtu alipe
 
Hizi kodi zinaenda kuporwa tu kama ripoti ya CAG Kichere inavyosema, na badala ya Serikali ya CCM kufhibiti uporaji wao wanazidi kutuongezea mzigo wakati pipa linamatobo na wao wenyewe ndio wamekinga na kuchota.
 
Serikali inachukua 600k kwa tani 30 za cement. Huu ni unyang’anyi kabisa. Bei kesho kwa dsm haitakuwa 17k kwa mfuko itakuwa 18k.
Mbona Cement Dar zinauzwa kwa 13700-14500

Baada ya ongezeko itakuwa 14700-15500
 
Ndio tunarudi kulekule wameshindwa kukusanya kodi kwa kuendekeza siasa
 
Sababu wengi hawalipi kodi hivyo inapelekwa kwenye bidhaa kila mtu aumie kwa njia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…