Mhe. Rais Jakay Kikwete wa Tanzania anaonekana akimwambia Rais Barack Obama " Mr. President this is my son, he is a Lawyer and politician
Kushoto Mhe. Ridhiwani Kikwete Mjumbe wa NEC akisalimiana na Rais Obama wa Marekani, amekiri kuwa ilikuwa ni heshima ya pekee ya kutambulishwa kwa Mhe. Rais wa Taifa kubwa la Marekani.
yaweza akawa anamtambulisha kama mwanae tu na c kumtengenezea mazingira fulani hatakama yote yawezekana maana viongozi wa africa mmmmh hawajambo
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi