Dah! Naona wanaotaka tuwaone watoto wa Kishua wanamtetea mtoto wa Kishua mwenzao kabla hawajafahamu chanzo cha bifu lao ni nini! Watu wa Uswahilini tuna taabu sana; manake kila jambo "wa uswahilini hao... tatizo shule!" Lakini ukichunguza sana unakuta wenyewe ni wa Ubungo au Kimara; kama sio Tabata au Mwenget! Ukikuta wana digrii basi ni zile za kuunga unga... lakini watoto wa Uzunguni wao; wasomi wao wakati viazi tu!!