Mzee wa Torano
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 519
- 696
...hahahahaha hakuna BIFU hapo,wanazingua tu,wanataka watu waende kwenye show yao Billz club
Yani wakati nasoma Uzi Wako Mimi nikawa naona tukio, (sijui nikoje) naona Shilole anampa Makofi ya Maana Vanessa, vile Vanessa alivyo akijaribu kujitetea anakutana na ngumi inayompeleka chini, SI ndo raia wakaona usenge huu! Si ndo wakaingilia Kati, ndo wakaanza kumpa Shilole kipondo cha kufa mtu...