BEEF: Vanessa Mdee na Shilole hali ni tete

Yani wakati nasoma Uzi Wako Mimi nikawa naona tukio, (sijui nikoje) naona Shilole anampa Makofi ya Maana Vanessa, vile Vanessa alivyo akijaribu kujitetea anakutana na ngumi inayompeleka chini, SI ndo raia wakaona usenge huu! Si ndo wakaingilia Kati, ndo wakaanza kumpa Shilole kipondo cha kufa mtu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom