data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Jeje tusi liko wapi!??Acha aimbe matusi kashaelimsha sana kwenye, Atarudi, matatizo, na nyingine nyingi sana
kwani jeje haina matusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoma kali sanaBonge la pini hilo mzee...
Acha uchawi.
Majibubya kipuuzi kwenye hoja za msingi
Mbona mond nyimbo zake zote matusi ila hamkuja na uzi humu jeje, aloimba na tanasha et embu chutama tuone kama inazama asubuhi niamshe na kimokoWengi humu mnachangia bila kusikiliza wimbo, kwakwel kipande alichoimba Billinas ni matus tupu
Bebi unapoikalia juu kama unataka kutaga
Unaibania kwa chini nikikalibia kumwaga
Umezoea kumwagiwa wazungu leo nakumwagia wachaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtoto wako hata asipoimba bado atakuja ku deep throat untill she choke.... lol.Matusi ya nguoni yamezidi. .... im just imagining my little daughter aje aimbe kama rosareee... itaniuma saannnaaaa... si haki wala halali...unadhani baba yake rosaree anajisikiaje huko aliko akisikia mwanae anaimba "im gonna deep throat till I fucken choke"... dahh.. hapana aisee... huu wimbo ufungiwe.
Sigara inatoka Moshi tu,,ila Wachaga wanatoka Moshi pasua,Old Moshi nk...ila Mimi ni Mmaasai na Muarusha sio Mchaga mkuu.!!Swali la kizushi ila majibu ndo hayatoshi, hivi kati ya nyie wachaga na sigara yupi anatoka moshi?
Nimeisikiliza hii nyimbo ya Harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa ni aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana.
Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii? Wakifungiwa wanalalamikia BASATA lakini makosa ni yao wenyewe.
Mfano yani Rosaree anataja neno FUCKEN... kweli? Its not our culture.
Rai yangu, wasanii imbeni nyimbo zenye ujumbe kama zamani. Sio kila siku matusi tuu
Link ya wimbo