Wimbo unatibu maradhi ya Corona, HIV, Hepatitis B, Cancer, TB, Malaria, Kisukari, Pressure, n.k.
Darasa na Rosa Ree wametisha zaidiii.
Kila mtu na ladha yake bro.Rudi kaskilize tena. Baghdad kafunika wote
Mimi nimemuelewa yule young blood Sam.Young Lunya kawafunika
Sent from my iPhone using Tapatalk
Baghdad pia nimemuelewa sanaa..Rudi kaskilize tena. Baghdad kafunika wote
Badata wanaogopa ile kwangwaru rmxAcha aimbe matusi kashaelimsha sana kwenye, Atarudi, matatizo, na nyingine nyingi sana
kwani jeje haina matusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Word mkuu..thumbs upMkuu kweli ni matusi, wasanii wa tz imekuwa kawaida kuimba hayo matusi, Kama wenye mamlaka yao wameachia wewe mtu wa chini hutofanya chochote, ila ukweli utabaki palepale kwamba hizi nyimbo zinaharibu watoto.
Kizazi kijacho cha watTZ kitakuwa balaa maana hata wazee wao ambao ni vijana wa leo ndio hali kama hii, cha msingi ni kuweka mbali na watoto.
Wanasema hizi nyimbo ni za vijana, hata mimi ni kijana ila nilishaacha kusikiliza hizo bongoflava, suruhisho ni kuacha kusikiliza na waachie wengine.
Whites wanasema just mind your own business.
Nimeisikiliza hii nyimbo ya Harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa ni aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana.
Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii? Wakifungiwa wanalalamikia BASATA lakini makosa ni yao wenyewe.
Mfano yani Rosaree anataja neno FUCKEN... kweli? Its not our culture.
Rai yangu, wasanii imbeni nyimbo zenye ujumbe kama zamani. Sio kila siku matusi tuu
Link ya wimbo