Gobe Isiah
Member
- Aug 12, 2011
- 12
- 1
Njemba tano zilikuwa zinawania ubingwa wa kunuka dhidi ya beberu(mbuzi dume) kila aliyeingia mlango uridushiwa jamaa wa kwanza aliingia kwa muda usiopungua sekunde 56 akatoka mbio na kuliacha beberu,hivyohivyo kwa washikaji wengine watatu waliukimbia ulingo! Lakin njemba ya mwisho ikaingia! zilipita kama dk 4 kati ya 5 kutoa droo mara wa2 wakaona mlango unafunguliwa huku beberu akitoka mbio mbio na njemba ikatawazwa ubingwa!! Duuh! Naomba utoe asimia ngapi umecheka.