Beauty without brain private parts suffer the most

Beauty without brain private parts suffer the most

Kwa hiyo unataka kusema wanaume watano in a woman's lifetime ni idadi kubwa sana au tatizo lipo kwenye kuzaa? Mimi nimekumiss hadi nimechoka sasa sikumisi tena[emoji13]
Wanaume watano "waliomzalisha", ukipata mdada alotembea na wanaume watano in her lifelime basi umeoa bikra kabisa.
 
Zina utamu.
Na ugeni wa jiji unachangia jpl iliopita natoka kuangalia mechi ya simba nikaone nikae bar moja pale taifa nafika nikaaa meza moja na mtoto mkali naanza kutia nyimbo mara anatokea mtu wa kati mama jitu zima shangingi la zamani kimuonekano hamna hatasehemu isiyo guswa eti ndio nijadiliane nalo nikaona wananifanya acacia kwenye biashara ya makinikia lete bia mbili nikampa wanangu awe kama analisomesha ilinichukue point tatu kwa mtoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom