Beautiful

Beautiful

Shem huyo,kumbe bado hujaoa????mi nahisigi wewe ni mutu ya ndoa na watoto...........heeeeeeeeeeee.......Go go TF,karibu kwenye maisha ya ndoa......:laugh::laugh:
Mipango banaa ndio iko njiani
 
Nilikuambiaje lakini Samora,mbona husikii??umesema uko njiani niko hapa barabarani nakusubiri hufiki,ni kucheka kulilia harusi za wenzio????
Kwa ukali huo lazima achelewe chelewe!Hata kama hamna foleni atapack sehemu apumue kwanza!Embu muulize kwa upendo mwenzio!
 
Kwa ukali huo lazima achelewe chelewe!Hata kama hamna foleni atapack sehemu apumue kwanza!Embu muulize kwa upendo mwenzio!
Ha aha ha ha huyo ndio mama mchungaji
 
Kwa ukali huo lazima achelewe chelewe!Hata kama hamna foleni atapack sehemu apumue kwanza!Embu muulize kwa upendo mwenzio!

Ha ha h ahaaaa,ni kakorofi mama mchungaji,kila siku namwambia kama analia aonyeshe,na kama anacheka aonyeshe,yeye anaonyesha vyote kwa pamoja......lol
 
Ha ha h ahaaaa,ni kakorofi mama mchungaji,kila siku namwambia kama analia aonyeshe,na kama anacheka aonyeshe,yeye anaonyesha vyote kwa pamoja......lol
Hahahaha...kwa nyumba ndogo hata akicheka anabembelezwa..we unamsema tu!Shauri lako...
 
I like that Best Man..he is a gentleman; that Groom...naah! he is a dog!!
 
Jamaa msindikizaji mnaonaje hapo kwenye mshale uzalendo ulimshinda nini? ha ha ha
 

Attachments

  • HAPO%20VIPI%203.jpg
    HAPO%20VIPI%203.jpg
    44.7 KB · Views: 114
I like that Best Man..he is a gentleman; that Groom...naah! he is a dog!!
attachment.php

Watu ni wabayaaaaaaaaaaaaaaa..............Wenye macho makali tumeona ulichompendea Best man!!!!!!!!!!! Wenye macho ka yangu mnakaribishwa kudadisiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom