Beating the Drum on One Side: Confusing the People on Both Sides


Hiyo "source" ina maanisha nini?
 

Soma tena ulichojibiwa, wewe unaleta utumbo ambao haupo kabisa:

By Mohamed Said

Manyerere,
Kuna mengi ningeweza kusema...
Prof. Hirji kaandika baada ya mimi kusema.

Alikuwa wapi siku zote?
Mimi huna haja ya kunihimiza.

Siku zote nimekuwapo.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
ninachoweza kusema ni hahahaa , mungu akurehemu, kukufurahisha nasema sijamsikia
 

You say Prof. Mohd Said is your brother and that you respect him and yet you are mocking him on the Boston thing! The analogy of this is the accusation you say about muslimans to Prips on building Mecca and the cry "makafiri makafiri makafiri". Now:

1) If prips realy built Mecca it was not on favour it was on contract (and you just proved that musliman don't choose trade partners even if they were pagans).

2) It could be Prips that built Mecca but is a lie that it was the Christians that entered Mecca to build it. Because before reaching Mecca city their is a highway diversion called "The Christian Bypass" that is used for non muslims to travel to places beyond Mecca. Christians and non-musliman personell are.not allowed to enter Mecca even if they were engineers, architects or labourers. This is a must part of the contractual agreements for Mecca. It is a must that all workers on site must be Muslimans.

I am giving you a challenge to 1 million Shillings if you can bring hard evidenced rebutal of what I just said.
 
Then tell

Vivid eveidences? Facts or hypothesis from your so called learned Karim Bhai?

Vivid = intense, powerful

Prof. M.Said has given the vivid proof non hypothetical research.

Una point nzuri sana kwenye michango yako ila kama unaweza kusoma kiswahili nina imani na kuandika unajuwa pia.

Jifunze utamaduni wa kuandika kwa kiswahili pia watanufaika wengi na michango yako. Ni ushauri tu utaki unaacha.
 
nakushukuru sana kuweka sawa hivyo, lakini neno kafiri kwa muelezo wako linategemea na mahali msimamo wa mazungumzo, kwa hakika unaweza kumuita mtu mjinga akacheka, na unaweza kumuita mtu mjinga , akaudhika kweli, na hata sasa hivi naogopa kukuita mjinga, kwani lazima utahisi ni kwa sababu ya mada hii, nikirudi kwenye neno kaffir, sijalisikia neno hili mkilitumia kwenye sherehe wala mahali pa salaam, ni kwenye kejeli na malumbano, kwa hiyo nilichosema ni ndicho ninachoamini. kweli sis ni watanzania na hata mimi, kwa mungu wangu marafiki zangu zaidi ya robo tatu ni waisilamu, watoto wote wa marehemu baba mkubwa bombambili songea ni waisilamu wa kutukuta. Utanzania wetu uko pale pale mada inaendelea- karibu
 

Hivi we nawe unajiita ni msomi??

Si naskia ni mwandishi wa habari wewe??unaandikaga nin hasa??

HAYA,

HEBU NIONESHE ENEO MOJA AMBALO MSOMI WETU MWANAHISTORIA MOHAMED SAID ALIPOWEKA CHUKI AU UDINI

JAPO SEHEMU MOJA

Na Waislam waliojipatia heshima kubwa kutokana na kusema ukweli huyu ni Mohamed Said ni miongoni mwao

Au wewe ulikuwa unawazungumzia waislam gani??

Nyinyi ndiyo vinara wa kuandika habari za uozo uozo katka tasnia yenu hiyo

Hovyo kbs.
 
Ritz naomba mpe huyu sadoliki kipande cha Mshume Kiyate siku nyingine akija asinifurahishe kwa kusema "sijamsikia".
nimekaa kimya kwa heshima ya huyu mzee, kwa heshima yangu ninamuita rafiki kubwa wa nyerere, nadhani mimi kama nina miaka 5 nimemuona kwa john rupia. kama wewe ulitaka mimi nisema alikuwa muuza samaki ferry mimi sikusema
 


Nisisogeze kiti kwa nini? Unaujua undani wangu? Hivyo ni vitu vya kawaida kwangu. Kila mtu na taaluma yake na tuheshimiane. Wewe kwenye taaluma yako ya tu historia twa Kariakoo umewahi kufanya review ya paper ngapi?

Narudia, tatizo lako kubwa ni kuangalia kila kitu kwenye kurunzi ya dini na upande mmoja. Unadhani hao wengine kwenye picha walikuchulia vipi wakati unamwaga sumu zako za udini?
 

The nicest namesake they could accept is Mpagani because it is a derivative of English words "a Pagan" it is "mild" and Kafiri is Arabic and too harsh and fiery to them.😀
 
Jibu swaliiii,,,kisha PIGA MAGOTI..!!:heh:

Longo longo za nin sasa Mkuu??

Umeulizwa kwenye hilo jopo la hao wasomi wewe unaweza ruhusiwa hata kwenda kukaa hapo na kudumia japo chai na kahawa??

Hata uwaitor hapo huambulii,

Kuangalia kitu kwa udini kivp sasa

Ndiyo angepewa mualiko na hao wasomi waliobobea kias hicho??

Kalubandika naweee....!!aaah wacha mambo yako wewe.
 


Siwezi kuambulia uwaitor, hata kama ungekuwa uwaiter. Hapo upo sahihi kabisa. Labda kama una lingine.
 
Mkuu Nguruvi3 ikiwa African Assocition kilianzishwa na Bwana Abdulwahid Sykes mwaka 1929 kumbukumbu zangu zinaonyesha wakati huo alikuwa na miaka 5 tu je hili liliwezakana vipi ?.Kweli nimeamini Ustadhi Mohamed Said yupo daraja ya juu ya uongo.

Jamani ndugu zangu,
Mimi huyu Ngongo nilishamuwia radhi kabisa.

Leo kanijia na habari ati mimi nimesema ati Abdul Sykes alianzisha
TAA 1929.

Afadhali angeishia hapo akanyamaza.
Kasherehesha.

Tena ananifedhehesha mbele yenu kwa kuniita mimi "muongo daraja
ya juu na mpotoshaji."

Sasa ndugu zangu mimi naomba msaada kwenu mnikinge na shari ya
huyu mtu.

Alete ushahidi kuwa mimi nimesema Abdul Sykes ndiye aliyeasisi
TAA 1929.

Faiza
ndiyo maana anauliza nyinyi mmesoma kitu gani?
Ujinga?

Hivi huyu ndugu yangu hajasoma kitabu changu?
Au hizi nyuzi zinazomzungumzia Abdul na baba yake Kleist hazisomi?

Hebu mjibuni huyu mtu nyie ndugu zangu.
Mimi nimekaukwa na mate kinywani.

Siamini.
Huyu ndiye anataka kufanya mnakasha na mimi...

Lakini kanikuna na nimecheka hadi machozi yamenitoka pale katika
hiki kichekesho kamtia ushahidini Mkuu Nguruvi3.

Hapo hapo ikanijia zile senema za Chale Mnene na Chale Mbwambwa
(Stan Laurey na Oliver Hardy) tukiangalia Mnazi Mmoja tulipokuwa watoto.



Labda Mkuu Nguruvi3 atanisaidia kumjibu Mkuu Ngongo.

Goodness me.
There is never a dull moment in JF.

Long Live JF.
 
nimekaa kimya kwa heshima ya huyu mzee, kwa heshima yangu ninamuita rafiki kubwa wa nyerere, nadhani mimi kama nina miaka 5 nimemuona kwa john rupia. kama wewe ulitaka mimi nisema alikuwa muuza samaki ferry mimi sikusema

Hata ulichokiandika sijakuelewa, kweli kabisa, hebu rudia kuandika ueleweke, au jamani waliomuelewa huyu kijana wanifahamishe. Honest.
 
Mkuu Nguruvi3 ikiwa African Assocition kilianzishwa na Bwana Abdulwahid Sykes mwaka 1929 kumbukumbu zangu zinaonyesha wakati huo alikuwa na miaka 5 tu je hili liliwezakana vipi ?.Kweli nimeamini Ustadhi Mohamed Said yupo daraja ya juu ya uongo.

Haya Ngongo na Nguruvi3 tuwekeeni ushahidi kwa hilo.

cc Chale ndute na Chale Mbwambwambwa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…