Be very careful what you wish for!

Be very careful what you wish for!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,063
Reaction score
136,426
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.

IMG_8447.jpeg
 
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

View attachment 3483280

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.
😷
 
lkn kuna uwezekanao wa soft coup pia kama aliyofanyiwa mugabe, alifwatwa ikulu kwa upole kabisa na jeshi na kumwambia kwa unyenyekevu mkubwa a-step down kwa heshima na kumwachia makamu wake, iliwezekana na maisha yaliendelea siyo kila coup ni bloody kuna soft coups pia, unawekwa house arrest na mipango mingine ikiendelea …
 
Who cares!Wameuliwa watu hakuna uchunguzi,wanafungwa wanasiasa hakuna kitu,dharau zimezidi sana sijali chochote.We have been living this life with CCM since 1977 and nothing has changed.I don't care whether there will be coup or something else.Enough is enough man.
 
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

View attachment 3483280

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.
Nyani Ngabu umetuaibisha.
 
Nimeamka leo hii Jumamosi ya kwanza ya mwezi Oktoba, 2025 na kukutana na video ya aliyejitambulisha kama Kapteni Tesha, afisa kutoka jeshi la anga Tanzania [nasi tuna jeshi la anga?🤣].

View attachment 3483280

Inadaiwa kuwa ni kweli huyo jamaa ni mwanajeshi wa JWTZ, kwa hiyo pia, hata hiyo video yake ni ya kweli.

Jamaa kasema haridhishwi na yanayoendelea nchini na kwamba keshawaandikia barua wakubwa zake huko jeshini kuelezea lamentations zake.

Kwa kifupi, jamaa kasema anataka jeshi lichukue nchi haraka sana ili kuweza kuweka mambo sawa.

Najua hili wazo lina mvuto kwa baadhi ya watu, hususan humu mitandaoni.

I don’t think this is a good idea. Matter of fact, it’s a very bad one.

I have never supported military putschs and I’m not going to start now.

This is a very bad slippery slope, if there ever was a good one.

It is a crossing of the rubicon that we do not want in our country.

I want soldiers to be just that. They should have the people’s back and let civilians handle their affairs.

I will have more to say later as more information comes out.

But, as of right now, a putsch to me is a no-no.
Usiwadanganye Watu !!.

Wee unadhan Kwa namna ambavyo Wahuni wameishika Polisi, Mahakama, Usalama..

Ni nani wakuwapa Nguvu Wananchi kama sio Jeshi?.

Acha kama ni vita itoke, kama ni mapinduzi yatoke kikubwa Nchi iponywe.


Hivi unadhan Kwa Namna ambavyo Kikwete, Abdul, Angela ,Mombo ,Rostam, Mafwele na genge lao lote, wanavyohusishwa na Uovu wote, wao watakua tayari kuichia Nchi kirahisi ??.


Tusiongee kama Wajinga
 
Who cares!Wameuliwa watu hakuna uchunguzi,wanafungwa wanasiasa hakuna kitu,dharau zimezidi sana sijali chochote.We have been living this life with CCM since 1977 and nothing has changed.I don't care whether there will be coup or something else.Enough is enough man.
Okay….just be very careful what you wish for…
 
Usiwadanganye Watu !!.

Wee unadhan Kwa namna ambavyo Wahuni wameishika Polisi, Mahakama, Usalama..

Ni nani wakuwapa Nguvu Wananchi kama sio Jeshi?.

Acha kama ni vita itoke, kama ni mapinduzi yatoke kikubwa Nchi iponywe.


Hivi unadhan Kwa Namna ambavyo Kikwete, Abdul, Angela ,Mombo ,Rostam, Mafwele na genge lao lote, wanavyohusishwa na Uovu wote, wao watakua tayari kuichia Nchi kirahisi ??.


Tusiongee kama Wajinga
Nimewadanganyaje watu?

Watanzania tunakaribia milioni 70 lakini hatuwezi kufanya chochote dhidi ya kundi dogo la watu!

That’s an indictment on us.

We are too docile.
 
Usiwadanganye Watu !!.

Wee unadhan Kwa namna ambavyo Wahuni wameishika Polisi, Mahakama, Usalama..

Ni nani wakuwapa Nguvu Wananchi kama sio Jeshi?.

Acha kama ni vita itoke, kama ni mapinduzi yatoke kikubwa Nchi iponywe.


Hivi unadhan Kwa Namna ambavyo Kikwete, Abdul, Angela ,Mombo ,Rostam, Mafwele na genge lao lote, wanavyohusishwa na Uovu wote, wao watakua tayari kuichia Nchi kirahisi ??.


Tusiongee kama Wajinga
Inawezekana anafaidika na mafisadi, hakuelewi huyo hata useme nini
 
Back
Top Bottom