TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,434
- 3,553
Teknolojia inafanya kila mtu taarifa zake ziwepo bila kupenda katika mitandao.
Watu wengi wanaishi maisha ya kuigiza ufahari wakati hakuna uwiano na uhalisia,siku wakipata matatizo wanaamua kutafuta utambulisho mpya ili wasaidike.
Kuishi maisha yaliyo halisi ni amani na furqha kuliko kufake,maana maisha ya kufake yanakufanya uwe makini na uishi kwa Michale muda wote,na mata nyingi hata kukwepa kukutana na watu pale inapobidi ili kukwepa kugundulika.
Kama unamudu mihogo wewe kula,comfortably,kama una mudu daladala,ishi openly usijifanye mzee wa ndinga aghari wakati hata baby walker huna,being real is a source of peace in within.
Wengine tumechagua kuishi uhalisia wetu Sawa na vipato vyetu,kuigiza tunavyo wakati hatuna hutunyima uhuru na amani ,ni bora ukatengwa sababu huna kuliko kujitenga sababu huna na unajifanya unacho.
Be real utakuja pata madhara sababu ya ku-fake life.
Watu wengi wanaishi maisha ya kuigiza ufahari wakati hakuna uwiano na uhalisia,siku wakipata matatizo wanaamua kutafuta utambulisho mpya ili wasaidike.
Kuishi maisha yaliyo halisi ni amani na furqha kuliko kufake,maana maisha ya kufake yanakufanya uwe makini na uishi kwa Michale muda wote,na mata nyingi hata kukwepa kukutana na watu pale inapobidi ili kukwepa kugundulika.
Kama unamudu mihogo wewe kula,comfortably,kama una mudu daladala,ishi openly usijifanye mzee wa ndinga aghari wakati hata baby walker huna,being real is a source of peace in within.
Wengine tumechagua kuishi uhalisia wetu Sawa na vipato vyetu,kuigiza tunavyo wakati hatuna hutunyima uhuru na amani ,ni bora ukatengwa sababu huna kuliko kujitenga sababu huna na unajifanya unacho.
Be real utakuja pata madhara sababu ya ku-fake life.