Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Ni raha sana aisee ila mungu ndio hapendi, si unaju vitu vyote vyenye utamu wa kupitiliza tumekatazwa? nawashauri msijaribu wadada kwani ambao hamjaolewa mnaweza mkaona hamna umuhimu wa ndoa. ni kitendo cha aibu sana embu fikiria mtu akubambe unafanya hivi au hata ndugu yako akukute ghafla utamwangalia vipi usoni, au uwe umeolewa mume akubambe unafanya haya si utatamani ardhi ipasuke?