mhhhh!!!!.......haya bana...mimi napita tu....:car:
unapita bila kusalimia mkuu? :ranger:
Ohhh!!! nilikuwa sijakuona Mr. Cool, tatizo umeangalia upande mwingine....:lol:
Mzima wewe?
Oh mi mzima Keren shukran kwa kuuliza. Natumai u mzima pia!
huko ni kupotea njia kabisa sasa kila mtu akiamua kupiga nyeto , ni nini dhana ya kuendeleza kizazi?. Ni wazi kuwa baada ya miaka 20 ijayo idadi ya vijana itakuwa ndogo kuliko idadi ya wazee. Na hilo ndilo lengo la hao wanaowaletea hayo madubwasha. Hii inamaanisha muwe na taifa lisilo jitosheleza kwa nguvu kazi na kulazimika kuwakaribisha wageni waje kuvuna rasilimali zenu.
huko ni kupotea njia kabisa sasa kila mtu akiamua kupiga nyeto , ni nini dhana ya kuendeleza kizazi?. Ni wazi kuwa baada ya miaka 20 ijayo idadi ya vijana itakuwa ndogo kuliko idadi ya wazee. Na hilo ndilo lengo la hao wanaowaletea hayo madubwasha. Hii inamaanisha muwe na taifa lisilo jitosheleza kwa nguvu kazi na kulazimika kuwakaribisha wageni waje kuvuna rasilimali zenu.
kweli tusipo angalia vizuri tutapotea, nimewahi jiuliza sababu hasa za mahusiano ya jinsia moja kushamiri hasa ughaibuni nikagundua zote hizi ni outcomes za kimifumo, mfano watu kukwepa karaha za child support wanaamua kukamata machoko, wakina mama wanapokosa wakuwaliwaza wanaamua kusaidiana wao kwa wao na hivyo kuzua hili kundi la lesbians.
finnimbrum