Be a gentleman, vingine viache vipite

Be a gentleman, vingine viache vipite

Mbna mmeegemea upande mmoja, vp kuhusu hawa wanawake ambao ukiwasaidia bila kuomba mbususu wanakuona ww fala

Binafsi kwa hawa wanawake wa sahiv siwez kuwaacha ikiwa naona mazingira ya kupata mbususu yapo
Ubaya ni kwamba ngono,(uzinzi) is self destruction..humkomoi mtu.
 
Wanaume wenzangu sio kila mwanamke alieko karibu na wewe lazima umle no, wengine acha wakupite.

Namaanisha labda umefanikiwa vihela vya mboga kidogo anakuja mdada wa watu mrembo anakuomba umtatulie shida yake ya kifedha wewe unamtaka kingono, msaidie aendelee na maisha yake.

Au unamkuta binti wa watu ana maadili hajaolewa na wewe unajua huwezi kumuoa acha kumchezea huyo kiumbe wa watu, muache ajitunze kwa ajili ya mumewe huko mbele ya safari.

Wewe ni boss ofisini unaweza kuajiri, hebu mpe mtu ajira bila kuomba ngono maisha ni zaidi ya ngono.

Jifunze kutoa sadaka, saidia bila kujali maslahi yako ya kingono utapata baraka na amani ya moyo huo ndio uanaume.
Yaani tusiwachakate sio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom