Be a gentleman, vingine viache vipite

Be a gentleman, vingine viache vipite

Wanaume wenzangu sio kila mwanamke alieko karibu na wewe lazima umle no, wengine acha wakupite.

Namaanisha labda umefanikiwa vihela vya mboga kidogo anakuja mdada wa watu mrembo anakuomba umtatulie shida yake ya kifedha wewe unamtaka kingono, msaidie aendelee na maisha yake.

Au unamkuta binti wa watu ana maadili hajaolewa na wewe unajua huwezi kumuoa acha kumchezea huyo kiumbe wa watu, muache ajitunze kwa ajili ya mumewe huko mbele ya safari.

Wewe ni boss ofisini unaweza kuajiri, hebu mpe mtu ajira bila kuomba ngono maisha ni zaidi ya ngono.

Jifunze kutoa sadaka, saidia bila kujali maslahi yako ya kingono utapata baraka na amani ya moyo huo ndio uanaume.
HUu uzi utagombana na rikiboy muda sio mrefu
 
Wee ingia kichwa kichwa hao wa style hiyo unakuta wanakukula hadi tope. Usidanganyike wanaume ni wale wle tuu
Cwez kutumia shda za mtu kupoza tamaa zangu sio utu
 
Mbna mmeegemea upande mmoja, vp kuhusu hawa wanawake ambao ukiwasaidia bila kuomba mbususu wanakuona ww fala

Binafsi kwa hawa wanawake wa sahiv siwez kuwaacha ikiwa naona mazingira ya kupata mbususu yapo
 
Labda awe mwanaume wa Kinondoni, hapo kweli atashindwa kumaliza

Me mbona mtori na chapati mbili napiga vizuri tu.
Tena baada ya hapo nashushia na juice ya miwa glass moja
Tena hiyo juis ya miwa iwe ya bariiid kabisa mana ikiwa ya moto ni sawa na unakunywa mitishamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom