Be a gentleman, vingine viache vipite

Be a gentleman, vingine viache vipite

sio kufilisiwa. hatutaki kupoteza utu, Kwani lazima nikulipe ngono ndo uniajiri? si bora hata uniambie utanikata ela kwenye mshahara wa kwanza au kitu kingne 😌
Kwan sisi wanaume tunavowatongoza na mnatukataa, huoni tunajidhalilisha Na kujichoresha kwenu, ila sisi wanaume hatuoni kama tunapoteza utu Leejay49
 
Mda mwingine unaweza kuamua kumsaidia apate ajira Kwa sababu wewe ni boss,akifika kazini badala ya kujitunza Kwa ajili ya mumewe unashangaa ofisi nzima imemgegeda kasoro wewe boss na watu wana wawake zao majumbani sio mabachelor na anajua.Umekosea wakat mwingine wanawake usiwaajiri achana nao warakuharibia ofisi.
 
kiroka ujengewe sanamu tena katikati ya mji
Umenena vema sana na nafurahi unatambua na kuheshimu thamani ya mwanamke

Kama hujapata breakfast agiza mtori na chapati mbili nakuja kulipa
Hahaha
 
Wanaume wenzangu sio kila mwanamke alieko karibu na wewe lazima umle no, wengine acha wakupite.

Namaanisha labda umefanikiwa vihela vya mboga kidogo anakuja mdada wa watu mrembo anakuomba umtatulie shida yake ya kifedha wewe unamtaka kingono, msaidie aendelee na maisha yake.

Au unamkuta binti wa watu ana maadili hajaolewa na wewe unajua huwezi kumuoa acha kumchezea huyo kiumbe wa watu, muache ajitunze kwa ajili ya mumewe huko mbele ya safari.

Wewe ni boss ofisini unaweza kuajiri, hebu mpe mtu ajira bila kuomba ngono maisha ni zaidi ya ngono.

Jifunze kutoa sadaka, saidia bila kujali maslahi yako ya kingono utapata baraka na amani ya moyo huo ndio uanaume.
🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨🔨
 
Labda awe mwanaume wa Kinondoni, hapo kweli atashindwa kumaliza😀

Me mbona mtori na chapati mbili napiga vizuri tu.
Tena baada ya hapo nashushia na juice ya miwa glass moja😋
Eti mwanaume wa kinondoni 😅😅😅

Huo mtori unakuwa kiasi gani? Au ndio vile vibakuli vidogo?
 
Hata hivyo wanaume hamnaga kinyaa, mtu unajua kabisa anatoka na fulani na wewe unataka uchomeke?

Mfano mzuri ni wasanii wa bongo yaani wanavyozungukana, hivi hawa watu kwa nini hawana kinyaaa? Aiseee au ukimwi nao unabagua!!

Imegine mwanaume anajua kuwa huyu ni malaya anajiuza ila mwanaume anajizima data ananunua malaya anamaliza shida zake anasepa.

Hivi kabla hujamnunua hujiulizi wangapi wamemnunua? Nyie viumbe hamnaga kinyaa.
 
kiroka Hongera sana mkuu ni miaka zaidi ya minne nimekua naishi na ushaur wako kama huu
Lazima tuoneshe watu kwamba ubinadam na utu bado vinapatikana kwenye dunia hii ya rotten generation
Mkuu, hii issue sio swala la utu tu, Bali pia ni heshima. And it goes both ways. Ili huwezi kufanikisha baadhi ya mambo, lazima kuwe na mipaka kwa kila kitu, hasa when it comes sex and relationship.

Kuna scenarios unakuta anaye initiate sio mwanaume, bali ni mwanamke mwenyewe. Nishawahi kuandika Uzi kitambo humu, kwamba, kuna baadhi ya watu wanafit sana kuwa marafiki kuliko wapenzi, au wanafit kuwa partners in deals and connections kuliko wapenzi. Ukimfanya business partner wako kuwa mpenzi, basi tambua ile bond ya kibiashara itakatika au kudhohofika, matokeo yake utagain mpenzi, ila utapoteza business partner.

Na huko mbeleni siku mkikorofishana, basi unapoteza kila kitu, mpenzi na business partner. So, haijalishi nani ataye initiate hiyo intimacy, ila unachotakiwa kufahamu ni kwamba "Kuna baadhi ya watu kwenye cycle yako wanatakiwa kubaki na status yao ile ile, ya friends/colleagues/co-workers etc" No mara waaa
 
Hata hivyo wanaume hamnaga kinyaa, mtu unajua kabisa anatoka na fulani na wewe unataka uchomeke?

Mfano mzuri ni wasanii wa bongo yaani wanavyozungukana, hivi hawa watu kwa nini hawana kinyaaa? Aiseee au ukimwi nao unabagua!!

Imegine mwanaume anajua kuwa huyu ni malaya anajiuza ila mwanaume anajizima data ananunua malaya anamaliza shida zake anasepa.

Hivi kabla hujamnunua hujiulizi wangapi wamemnunua? Nyie viumbe hamnaga kinyaa.
Wanawake wanapenda mwanaume akikosa kwake papuchi au akimkataa basi akataliwe na wanawake wote hapana formula haipo hivyo.

Kuna mmoja aliwahi kuniambia haupo romantic,nani atakukubalia nikamwambia nisipokubaliwa basi ntaenda hata Bar kutoa Hela Kwa mwanamke yeyote NIMALIZE haja zangu ,akaanza Tena hata hao watakukataa ,nikasema poa akarithika.Wanataka mwanaume akose akose akose akose akose ahangaike ndyo furaha Yao.

Wanaume wengi kujichomeka Kwa mwanamke mmoja ni Ili kumaliza haja zetu,sisi sio wanawake ambao lazima tuwe na hisia Ili tufanye na mtu Fulani.Ndiyo maana Hadi vichaa Wanapata MIMBA unadhani mwanaume anayelala na kichaa ana hisia na kichaa.
 
Hizo tabia wanazo wanaume wengi hasa kutaka rushwa za ngono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom