Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,863
Iara
So uarabu ni baraka mkuu????
So uarabu ni baraka mkuu????
Uhuru wa habari hakuna ni kusifia tuTTanzania Imefunguka Urasimu Gani Wakati Anaupiga Mwingi
Ama Ni Kama Chorus Maarufu Sana JF "Kataa Ndoa"
Another gay spotted.nafikiri ni mashoga na serikali haikuibaliani na huo ujinga
Si BBC tu hata CNN, Aljazeera asilimia kubwa huongelea bara la Africa kwa matatizo ya njaa, magonjwa, ugaidi au majanga majanga tu ilihali huko Ulaya panaweza pasiwe na matatizo sawa na Africa lakini wako most obsessive.aliyewahi kusikia BBC ikisema mazuri Tanzania aniambie
Masikini hawezi (ni ngumu) kuwekeza kwa tajiri.Hao BBC waulizwe, Mtanzania akitaka kuwekeza Marekani mazingira yakoje? Hizi tathimini zinafanyika nchi maskini sababu ya uhitaji wao na hawana negotiation power sababu ya shida zao.
Waarabu wanajitambua kidogo sio kama waafrika.Iara
So uarabu ni baraka mkuu????
kwenye kila kitu kumejaa madude mengi sana siasa majitaka, upumbavu, uzandiki, chuki, kujuana na tutazidi kuwa masikini mpaka dunia inaishaJumatatu ya Juni 5,2023, BBC Swahili imetangaza kuanza msimu wake mpya wa matangazo ya runinga kutokea mjini Nairobi nchini Kenya badala ya London, Uingereza.Mitandaoni mjadala umekuwa ni kwanini studio hizo zisingehamishiwa Tanzania kutokana na uasili na idadi kubwa ya wazungumzaji wa lugha ya kiswahili.
Mwanahabari mtanzania Mubelwa Bandio, anayefanya kazi zake nchini Marekani kwa upande wake anasema mazingira ya kuwekeza na kufanya kazi za uanahabari nchini Tanzania ni magumu na yaliyoandamwa na urasimu mkubwa kulinganisha na jirani zetu Kenya.
wapo kinyume na sheria na wanakamatwa wanapobainika na sheria kuchua mkondo wakeMkuu kwani Tz hakuna mashoga???
Nape nauye huyo🤔wakt elon musk alipotaka kuwekeza tz kwenye mawasiliano through satellite🤣Niliwahi sikia mfanyakazi wa sirikali akisema .......... Hivi unadhani serikali inapata hasara kwa maamuzi ka hayo..?
Tanzania hata innovator wa kutuma pesa kwa mitandao kimataifa ya NALA Money, Benjamin Fernandez, licha ya kujulikana mpaka na rais na kuahidiwa ushirikiano na serikali kutoka ngazi za juu kabisa, ameshindwa kufanya kazi kutoka Tanzania, ameanzisha ofisi zake Nairobi.
Namnukuu John Doe aliyenihabarisha leo katika mjadala mwingine hapa JF kuwa:-
"Changamoto alizopita mwanzilishi wa NALA kampuni ya kutuma pesa kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine ilimpelekea mpaka kupeleka makao makuu kuhamishia Kenya. Huu ni mfano halisi wa jambo ulilozungumza hapo juu.
Angalia kituko kuhusu BoT kuna vibali vya aina moja inachukua benki kuu ya Uingereza siku moja kuvipata hivyo hivyo kwa benki kuu ya Marekani, Kenya na Uganda vinachukua siku 10 za kazi pekee. Kwa upande Rwanda na Burudi ni siku 14 ila kwa Tanzania ni miezi 6."
Mwisho wa kunukuu.
Mkuu
wawe na jema kivipi na hukuwachangia mtaji????
Aliyesema hayo maneno ni BBC swahili au Mubelwa Bandio????? Huyo Mubelwa anafanya kazi BBC? Au alisema wakati akihojiwa na BBC????Jumatatu ya Juni 5,2023, BBC Swahili imetangaza kuanza msimu wake mpya wa matangazo ya runinga kutokea mjini Nairobi nchini Kenya badala ya London, Uingereza.Mitandaoni mjadala umekuwa ni kwanini studio hizo zisingehamishiwa Tanzania kutokana na uasili na idadi kubwa ya wazungumzaji wa lugha ya kiswahili.
Mwanahabari mtanzania Mubelwa Bandio, anayefanya kazi zake nchini Marekani kwa upande wake anasema mazingira ya kuwekeza na kufanya kazi za uanahabari nchini Tanzania ni magumu na yaliyoandamwa na urasimu mkubwa kulinganisha na jirani zetu Kenya.
mkuu jiheshimu ukijifanya mtu wa mafumbo na vijembe mimi huwa nanyosha maelezoAnother gay spotted.
Kwani hayapo?Si BBC tu hata CNN, Aljazeera asilimia kubwa huongelea bara la Africa kwa matatizo ya njaa, magonjwa, ugaidi au majanga majanga tu ilihali huko Ulaya panaweza pasiwe na matatizo sawa na Africa lakini wako most obsessive.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tanzania pia tuna kitu naona ni a sense of false "Tanzanian exceptionalism".Hapo kwenye BOT huwa sielewi wana shida gani, leseni inachukua miezi 6.
Same investor akiwekeza Kenya hiyo miezi 6 anakuwa ameaanza biashara na kurudisha pesa.
Mbona unawashwawashwa na uarabu ?Iara
So uarabu ni baraka mkuu????
Waarabu wanajitambua kuliko waafrika mkuu????? Wewe ushawahi kuishi na waarabu wa nchi gani??Waarabu wanajitambua kidogo sio kama waafrika.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
... Sawq bana... Error tu hzo.. ni fair .... C unajua simu za kichina hiziKila kitu nchi yetu shida. Hata kiswahili hatujui, kiingereza hatujui,
Mimi Huwa napokelea Kenya na naingiza bongo kwa safaricom bila fee yoyotesomething is wrong with this country, hata kupokea pesa kwa PAYPAL haiwezekani aisee. Kuna kundi la watu wanaoshikilia hii nchi upande wa uchumi linapaswa lisafishwe lote tuanze upya.
sera zote walizojitungia tangu 77 huko zinapaswa zipitiwe upya yaani bado tunaishi maisha ya kizamani sana sababu ya hilo kundi la watu wachache walioshikilia hii nchi na uzee wao.