Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,686
- 3,075
Katika kile kinachoonekana jeshi la Polisi nchini kukosa imani tena kwa jamii serikali imeridhia uchunguzi wa mashirika ya kijasusi toka nje. Ili kujua nani yuko nyuma ya kadhia hiyo.
Concern
Hapa najua wanataka kuwatupia watu wa nje lawama nahakika wanajua nani anaendesha mauwaji lakini unafiki wa kukamatana ndo unawasumbua hawa serikali. Uchunguzi ukitoka utawasikis "kulingana na uchunguzi wa kijasusi toka nje umebaini.........." Ili wao waonekane sio walio watia hatiani watuhumiwa.
No
He is a stupid President. This Dr cannot think, how a murderer can think? He just wants to wash his hands. He is a haunted President /person, the evil of EPA, putting him in power, Daudi Balali blood is haunting him, we all will pay from the wrongs we did, you cannot escape this. Two things you cannot escape/big sins: between the two: taking someone's blood in exchange for power! The sin cannot be forgiven !