MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Siwezi kuamini na nitakataa mpaka Pumzi yangu ya mwisho huyu Kiongozi Mr. Smile Mswahili Pwani BBC na PANDORA PAPER yenu hamjamkuta kuwa amejilimbikizia sana Mali na Kuinyonya mno Tanzania.
Kwa nimjuavyo Mr. Smile Mswahili Pwani na alivyokuwa Mjanja Mjanja huku akiwa Kazungukwa na Wapigaji watupu Mightier nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hajaliibia Taifa la Tanzania na hata Kujitajirisha nalo na Kakosekana katika BBC PANDORA PAPER iliyotoka.
Na Utajiri wake tu ameufichia Malaysia.
Kwa nimjuavyo Mr. Smile Mswahili Pwani na alivyokuwa Mjanja Mjanja huku akiwa Kazungukwa na Wapigaji watupu Mightier nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hajaliibia Taifa la Tanzania na hata Kujitajirisha nalo na Kakosekana katika BBC PANDORA PAPER iliyotoka.
Na Utajiri wake tu ameufichia Malaysia.